Uganda sasa wanazalisha mafuta ya maparachichi. Je, Tanzania tunakwama wapi?

Uganda sasa wanazalisha mafuta ya maparachichi. Je, Tanzania tunakwama wapi?

Ukute tayari anasoko ulaya
Bongo yapo sema demand bado ipo chini
Yas kwa sababu mafuta ya parachichi yanaonekana ni kundi la quality tena yenye afya. Lakini kwa kuwa wabongo wengi wamejidefine kama wanyonge na maskini (hadi wale wenye hela) unakuta kila mtu anatafuta cheap alternatives.

Rejea jinsi wachimbaji madini wanavyopenda kujiita wachimbaji wadogowadogo(hadi mabilionea!!). Wenye viwanda wanavyopenda kujiweka 'kiwanda/karakana ndogondongo'. Ndio inasaidia katika masuala ya kodi zetu hizi. Lakini unfortunately, how you do one thing becomes how you do everything na unyonge unatamalaki.
 
Tanzania kuna kampuni zaidi ya NNE zinazalisha mafuta kwa modern technology.
Tusikimbilie kuona hatuwezi, we we umefanya mini sababu kama bongo hakuna hiyo ni fursa itumie utoboe.
 
Back
Top Bottom