Uganda to refurbish Kampala-Port Bell railway

Uganda to refurbish Kampala-Port Bell railway

Mimi huwa wakati fulani ninakaa na ninaifikiria sana Kenya ndani ya miaka 5 ijayo itakuwa wapi, unajua Magufuli ni mtu hatari sana, kama Kenya hawatachukua tahafhari uchumi wa Kenya unaweza kuwa kwenye hali mbaya sana, lazima Kenya washituka muda huu na waanze kumfanya Magufuli kuwa rafiki yao ili washirikiane badala ya kumuweka mbali, wanampa nafasi ya kuwazunguka kama anavyofanya sasa hivi, ngoja tufanye analysis fupi sana,
1)Uchumi wa Kenya unashikiliwa na sector zifuatazo; Kilimo, utalii, financial services, manufacturing, construction, construction, transportation and logistics.
2)Utalii ndiyo hivyo tena, sina sababu ya kuelezea unakaribia kufa, mwaka huu Kenya ikifikisha $500m itakuwa ni bahati sana
3)Kilimo kinaendelea kuwa duni kila mwaka, ukame na serikali kupuuzia miradi ya kilimo, migogoro ya ardhi, na matumizi, insecurity vinadidimiza uzalishaji.
4)Manufacturing sector, umezidiwa na bidhaa toka china na India, huku Magufuli anakuja juu sana kujenga viwanda, ambavyo vitaongeza ushindani kwa sababu gharama ya uzalishaji Tanzania ipo chini sana ukilinganisha na Kenya.
5)Transportation and logistic, Kenya haitoweza kupambana na Tanzania katika hili, imejenga reli ya ghali sana, na gharama za uendeshaji pia zitakuwa juu kutokana na kwamba ni diesel engine, hivyo kufanya gharama za kusafirisha kuwa juu ukilinganisha na Tanzania
Mi napenda waendelee kumtenga hivyo hivyo maana napenda ushindani wake!
 
Jpm akikamilisha reli hadi mwanza na meli anazounda zikiwa tayali basi wafanyabiashara wataamia bongo
 
Halafu wamesahau kuongelea reli ya Kampala-Port Bell! Wacha Magufuli afanye mambo yake huku upanuzi wa viwanja vya ndege vya Tanga na Mwanza, upanuzi wa Bandari za Tanga na Dar, maboresho ya reli ya kati na ile ya Tanga-Arusha huku meli mbili za kubeba mabehewa zikiboreshwa na nyingine mpya kuanza kuundwa na Wakorea! Mwenye macho haambiwi ona! Jamaa anataka sana biashara ya mizigo ya Uganda na ataipora kutoka Kenya.
Babaa si uweke picha za SGR na Bagamoyo Port juu umetuimbia kwa muda wa zaidi ya miaka kumi hivi.
Nikijiunga hapa JF nilipata ukibeza Kenya vile Tz itaipiku Kenya na bado ninangoja hiyo usiku 10+years later.
The only major development Tz has achieved after Tazara ni ile 500m bridge in Dar, that's a fact unless photographic evidence is provided.
Contrary to Tz jealous allegations on Kenya's dominance, it is clear that We lead others follow.
 
Babaa si uweke picha za SGR na Bagamoyo Port juu umetuimbia kwa muda wa zaidi ya miaka kumi hivi.
Nikijiunga hapa JF nilipata ukibeza Kenya vile Tz itaipiku Kenya na bado ninangoja hiyo usiku 10+years later.
The only major development Tz has achieved after Tazara ni ile 500m bridge in Dar, that's a fact unless photographic evidence is provided.
Contrary to Tz jealous allegations on Kenya's dominance, it is clear that We lead others follow.
Mbona picha za matuta zipo ujenzi wa SGR ikiendelea na niliziweka! Ina maana kwa Dar hujui BRT project? Na airport na port expansion projects? Huu wivu aisee ni mamako tu anaweza kuuondoa!
 
Mbona picha za matuta zipo ujenzi wa SGR ikiendelea na niliziweka! Ina maana kwa Dar hujui BRT project? Na airport na port expansion projects? Huu wivu aisee ni mamako tu anaweza kuuondoa!
Hebu weka Tena hizo matuta na kadhalika niweze kusadiki povu lako.
 
Ati mimi nina povu Pitia threads zenye caption ya SGR Tanzana usiku na mchana!
Hebu kwanza weka hizo kazi za usiku na mchana Hahahaha it always makes my day.
Sasa SGR imefika wapi as we speak?
Pink Elephant Bagamoyo iko na berths ngapi hivi?
 
Babaa si uweke picha za SGR na Bagamoyo Port juu umetuimbia kwa muda wa zaidi ya miaka kumi hivi.
Nikijiunga hapa JF nilipata ukibeza Kenya vile Tz itaipiku Kenya na bado ninangoja hiyo usiku 10+years later.
The only major development Tz has achieved after Tazara ni ile 500m bridge in Dar, that's a fact unless photographic evidence is provided.
Contrary to Tz jealous allegations on Kenya's dominance, it is clear that We lead others follow.

wewe mtoto mbona mpumbavu hivyo? TAZARA imejengwa lini?? unalinganisha Daraja la jana tu na TAZARA. hivi wewe unajua madaraja mangapi tunejenga kwa miaka hii ya karibuni. unajua tumejenga trunk na regional roads za kuunganisha mikoa ngapi. nchi saa hizi unatoka Kusini mpaka kaskazini ni tarmac Mashariki mpaka magharibi ni mkeka tu.
usiwe ukiropoka ropoka mbele ya baba zako.
 
wewe mtoto mbona mpumbavu hivyo? TAZARA imejengwa lini?? unalinganisha Daraja la jana tu na TAZARA. hivi wewe unajua madaraja mangapi tunejenga kwa miaka hii ya karibuni. unajua tumejenga trunk na regional roads za kuunganisha mikoa ngapi. nchi saa hizi unatoka Kusini mpaka kaskazini ni tarmac Mashariki mpaka magharibi ni mkeka tu.
usiwe ukiropoka ropoka mbele ya baba zako.
Anawashwa na kibarabara cha kuunganisha Turkana na Nairobi ambacho daraja lake limesombwa na maji juzi!
 
Kama kawaida kuropoka kwako, hujui kwamba ujenzi wa reli toka port bell hadi Kampala hizo kilometer 11 anayelipia ni Tanzania Port Authority, ninyi hata kilometre moja ya reli yenu mumeshindwa kulipia?, sasa hivi nchi imeshindwa kulipa $770million Rotich anazunguka duniani kutafuta mkopo wa kulipa hilo deni, uchumi unaokufa kama huo wenu utawezaje kupambana na nchi iliyotoa $3.1B kulipia reli yake?, badala ya kuja kuomba tuwasaidie pesa ya kulipia hayo madeni yenu, badi mnamatumaini ya kushindana na giant?
Can you bring any concrete proof that Tz will use its taxpayers money to build a UG owned rail.
Cause the info out there is even the Tz section upgrade was done by World bank at 300b tzsh.

Anyway, once port bell is open for business with a working rail connection, it will be open for all business, regardless of origin, Kisumu port os closer to port bell that Mwanza... Bado tutakua tume checkmate
 
Port bell ni fursa murwa kwa SGR ya Mombasa to Kisumu na port of Kisumu kufaidika zaidi na kushikilia transportation of goods to and fro the great lakes region.
Kenya already imenyakua Hii kitu, Tanzania ni kukenua meno tu with empty promises and nothing to show for it.
Hawa jamaa wanafikiria Kenya ilifika ilipofika kwa kubahatisha, watashangaa miaka mitano baadaye watakua bado stori ni zile zile za 'ngoja tuki, ngoja tuta,"
Alafu naona wako na hitilafu flani, kila issue ni 'magufuli this, magufuli that!' Yani ni kama future ya Tz nzima iko mikononi mwa magufuli, ni kama ambae maendeleo yote ya Tz yanategemea Magufuli kubaki madarakani, la sivyo hakuna lolote litakalo fanyika.


Anyway back to topic, This is the situation.

Kisumu iko karibu zaidi na port bell kuliko Mwanza.

Sgr ya Kenya itakua inaenda direct hadi Kampala bila kuhitaji Mizigo kushukishwa na kupakiwa ndani ya meli.


Kisumu pia inajenga upya bandari. Phase one ya bandari la kisumu litagarimu $250million USD
Screenshot 2017-10-04 at 10_38_18.jpg
vlcsnap-2017-10-02-21h16m22s517.jpg
 
Hawa jamaa wanafikiria Kenya ilifika ilipofika kwa kubahatisha, watashangaa miaka mitano baadaye watakua bado stori ni zile zile za 'ngoja tuki, ngoja tuta,"
kwikwikwi.endelea kujifariji. Hata mgonjwa anayeekelea kufa hujifariji.
 
Can you bring any concrete proof that Tz will use its taxpayers money to build a UG owned rail.
Cause the info out there is even the Tz section upgrade was done by World bank at 300b tzsh.

Anyway, once port bell is open for business with a working rail connection, it will be open for all business, regardless of origin, Kisumu port os closer to port bell that Mwanza... Bado tutakua tume checkmate
Sasa hilo ni la kubisha pia?
 
kwikwikwi.endelea kujifariji. Hata mgonjwa anayeekelea kufa hujifariji.
Pale ukianza kuona picha za ujenzi wa bandari la Kisumu ndo utajua Kenya sio nchi ya kuchekelewa ikija kwa biashara, nyinyi endeleeni kupiga gumzo jingi.


Kisumu port renders zilishatoka
vlcsnap-2017-10-02-21h16m22s517.jpg
 
Pale ukianza kuona picha za ujenzi wa bandari la Kisumu ndo utajua Kenya sio nchi ya kuchekelewa ikija kwa biashara, nyinyi endeleeni kupiga gumzo jingi.


Kisumu port renders zilishatoka
View attachment 629340
Umeona yetu ya Mwanza? Ya Port Bell ambayo Kfz imetoa fedha? Choral diagonal line Kisumu-Kampala na Mwanza-Kampala halafu use me huo u mbali unatoka wapi! BTW hiyo $250 mln ya Kisumu port ni nje ya fedha za Mchina za reli sio? [emoji23] [emoji115]
 
Nyanza wanajitenga sasa hiyo reli na bandari sijui itajengwa lini!
Typical Tanzanian move! Yaani hakuna hata siku moja utakosa kumuona mtanzania akiombea kenya ipatwe na janga flani ndo Tanzania ipiku Kenya.
Kwa haya mashindano ya kibiashara,Mkenya ataombea Tz isipatwe na janga lolote ili tukiwashinda tuwashinde fair and square, msiwe na sababu yoyote , Lakini mtanzania siku zote ana miondoko kama ya mchawi vile, ukimtajia tunajenga sgr , ' hoo alashabaab wataibomoa' ukimtajia bomba la mafuta, hoo ukame utawaua nyote, ...

Hata tugawanyike kiasi gani reli itafika kampala,
 
Typical Tanzanian move! Yaani hakuna hata siku moja utakosa kumuona mtanzania akiombea kenya ipatwe na janga flani ndo Tanzania ipiku Kenya.
Kwa haya mashindano ya kibiashara,Mkenya ataombea Tz isipatwe na janga lolote ili tukiwashinda tuwashinde fair and square, msiwe na sababu yoyote , Lakini mtanzania siku zote ana miondoko kama ya mchawi vile, ukimtajia tunajenga sgr , ' hoo alashabaab wataibomoa' ukimtajia bomba la mafuta, hoo ukame utawaua nyote, ...

Hata tugawanyike kiasi gani reli itafika kampala,
Povu, Kisumu vijana wanataka bunduki
 
Umeona yetu ya Mwanza? Ya Port Bell ambayo Kfz imetoa fedha? Choral diagonal line Kisumu-Kampala na Mwanza-Kampala halafu use me huo u mbali unatoka wapi! BTW hiyo $250 mln ya Kisumu port ni nje ya fedha za Mchina za reli sio? [emoji23] [emoji115]
Nairobi ICD expansion ililipiwa na loan ile ile ya mchina. Wakati wanatia sahihi kandarasi pia walipiga kandarasi za phase 2 yote ambayo ili include Kisumu port..

wp_ss_20171112_0001.png
 
Back
Top Bottom