Uganda warns Nkurunziza: We’ll deploy forces in Burundi

hata useme vipi hali haitabadilika ghafla uwe mzima! kumbuka unaongea na mchambawima1 na sio HE Kagame kama unavyoropoka! chuki itawatafuna sana msiojielewa, wenye akili kama Makamba hivi wameanza kutuma ndugu zetu wakitanzania waje kujifunza huku Rwanda kwa huyohuyo Kagame unayemtukana... juzi CAR wametuma serikali yote kuja kujifunza mazuri yetu, kama vile na sisi tunavyojifunza mengi kutoka kwa wengine... mfano wa karibu ni jinsi tulivyo jifunza customer care kutoka kwa ndugu zetu wa kikenya waliopo hapa... sasa wewe na bangi zako unaona uhasi tu tena bila hata ushahidi, yenye ushahidi hata hauyasemi, mbona hauelezei jinsi walivyowakomboa wa congoman kutoka mikononi mwa mpiga madili mwenzako Mobutu? ushauri wangu kwako ni kuachana na hizo bangi mbichi, kwani waweza kueleweka bila kutukana viongozi wa nchi yoyote ile... Bukyanagandi
 
Umemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…