Uganda warns Nkurunziza: We’ll deploy forces in Burundi

Uganda warns Nkurunziza: We’ll deploy forces in Burundi

Who is supposed to see a doctor, me or you.?? Go to the doctor and check your brain whether there are any residue of detergent in there.!!

You forgot about the fact that all current rebel leaders in Eastern Congo and Burundi are installed by Paul Kagame and Kaguta Museveni.!! Your media will say nothing If the rebel leaders are a puppet of bahima empire. When the rebels started to turn away from bahima empire like Laurent Nkunda, your government and media start to give the real fact. Don't you believe that.?? Where's a rebel leader, Sultan Makenga.?? Wait for a time you older tutsi, you are going to explain where and why this cockroach have been in hiding for a long period of time in the center of Kigali.
hata useme vipi hali haitabadilika ghafla uwe mzima! kumbuka unaongea na mchambawima1 na sio HE Kagame kama unavyoropoka! chuki itawatafuna sana msiojielewa, wenye akili kama Makamba hivi wameanza kutuma ndugu zetu wakitanzania waje kujifunza huku Rwanda kwa huyohuyo Kagame unayemtukana... juzi CAR wametuma serikali yote kuja kujifunza mazuri yetu, kama vile na sisi tunavyojifunza mengi kutoka kwa wengine... mfano wa karibu ni jinsi tulivyo jifunza customer care kutoka kwa ndugu zetu wa kikenya waliopo hapa... sasa wewe na bangi zako unaona uhasi tu tena bila hata ushahidi, yenye ushahidi hata hauyasemi, mbona hauelezei jinsi walivyowakomboa wa congoman kutoka mikononi mwa mpiga madili mwenzako Mobutu? ushauri wangu kwako ni kuachana na hizo bangi mbichi, kwani waweza kueleweka bila kutukana viongozi wa nchi yoyote ile... Bukyanagandi
 
Umemaliza kila kitu
Mkuu, D.Trump akitupatia vidonge vyetu tunalalamika!! Hivi Trump alisema nini kuhusu M7?

Yaani mambo mengine yanachekesha sana - nani ambea hajui kwamba M7 na mwenzake wana conflict of interest nchini Burundi ambazo ni so obvious, hawapashwi kuruhusiwa kujingiza kwenye masuala ya usuruhishi kwa kuwa ajenda zao za siri zinajulikana na hazijafa - wao wanauchukulia mgogoro huu kama ni a good omen ya kufanikisha kutumbukiza/lazimisha kusimika mteule wao nchini Burundi - 'am sure viongozi weledi Afrika wamekwisha ng'amua maigizo yao, kilichobaki wanawafanyia timing wanajua wapi pa kuwa corner na nullify njama zao hatarishi.

Tatizo kuu la M7 na mwenzake ni kujifanya ni ma wise men wanafikiri viongozi wengine Afrika hawana akili za kuwasoma kisaikolojia, mwaka jana/juzi karibu wamwingize mkenge U.Kenyatta kwa kujaribu ku draw a wedge kati ya Tanzania na Kenya - hivi sasa Kenyatta amekwisha washtukia anakwenda nao hivyo hivyo akili za kuambiwa hivi sasa anachanganya na za kwake, tatizo la Burundi nalo lina chochewa na mkondo huo huo wa kuwa instigated from without - we mtu ambae si Mrundi unakuwaje so overly concern na Nkuruzinza kuliko Warundi wenyewe, unakubali kupoteza ma mega calories kumsema sema ovyo kitu ambacho hata katibu mkuu wa UN hajawahi ku demonise kiongozi wa Burundi.

Ukijaribu kuchunguza kwa umakini unakuta mambo yote wanayo mshutumu Nkuruzinza wao ndio merchant of ... hapa wajifanya malaika kwa kuzuga watu tu, hawana moral Authority yoyote ya kusuruhisha mgogoro wa Burundi,kama wameshindwa kudhibiti waasi wanao toka Uganda na Rwanda kuvamia mara kwa mara Uvira/kivu DRC kwa baraka zao, leo hii wajifanya wana nia thabiti ya kusuruhisha mgogoro wa Burundi wasitake kudanganya watu.
 
Back
Top Bottom