Uganda: WB Boss Slams Uganda's Projects Tanzania White Elephant

Uganda: WB Boss Slams Uganda's Projects Tanzania White Elephant

Dah! Hii hatari sana, ila tuwaombee maana hili bomba walikua wamelisubiri kwa hamnu liwatoe kwenye lindi la umaskini, unajua kwa kweli haileti raha kuzungukwa na maskini, hii inatukwamisha hata sisi.

Hebu ona hii ramani hapa chini Kenya ilivyozungukwa na nchi maskini pande zote, hii sio sawa tunakwama kwa kweli, they say your neighborhood can define your destiny. Tatizo mivivu sana hawa.....

PR12040f1_en.jpg

but mind you, Kenya belongs to a list of critical condition if not a failed state.
 
Lakini hakuna njaa, Kenya GDP kubwa lakini watu wanakufa njaa, hakuna kazi, watu wanaishi kwenye slums, umesikini umekithiri. Kenya ni failed state
http://allafrica.com/stories/201006231033.html

Acha fiksi za kiCCM, hakuna njaa wakati juzi juzi tu watu wamekula vidudu wavi pale Dodoma!!!

Pengine ‘hakuna njaa’ kwa sababu the pathetic, skunk CCM government prohibited people and the media from speaking about uwepo wa njaa.
 
waonee huruma angalau😀😀😀😀ndovu weupe kila kona
 
Dah! Hii hatari sana, ila tuwaombee maana hili bomba walikua wamelisubiri kwa hamnu liwatoe kwenye lindi la umaskini, unajua kwa kweli haileti raha kuzungukwa na maskini, hii inatukwamisha hata sisi.

Hebu ona hii ramani hapa chini Kenya ilivyozungukwa na nchi maskini pande zote, hii sio sawa tunakwama kwa kweli, they say your neighborhood can define your destiny. Tatizo mivivu sana hawa.....

PR12040f1_en.jpg
We are lucky to have an Ocean.
 
Dah! Hii hatari sana, ila tuwaombee maana hili bomba walikua wamelisubiri kwa hamnu liwatoe kwenye lindi la umaskini, unajua kwa kweli haileti raha kuzungukwa na maskini, hii inatukwamisha hata sisi.

Hebu ona hii ramani hapa chini Kenya ilivyozungukwa na nchi maskini pande zote, hii sio sawa tunakwama kwa kweli, they say your neighborhood can define your destiny. Tatizo mivivu sana hawa.....

PR12040f1_en.jpg

Yet our genuine effort to try bring our neighbors on-board for economic acceleration is stiffly resisted. The southerners are notorious in this and how I wish Ethiopia could see the light and come on board.
 
Back
Top Bottom