Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu mda wote tu wanawashwa washwa tu kuhusu Tanzania…A long white elephant infested with elephantiasis !
Lol !!
Kenya njaa tupu.umependa Kenya sana
Nchi zote duniani zipo hapo, muhimu ni position ya nchiList of countries by Fragile States Index - Wikipedia
i see Tanzania on that list as well.. Pathetic Tanzanian
Endelea kujifariji.Tanzania umaskini tupu.. Nchi Kubwa GDP ndogo
Lakini hakuna njaa, Kenya GDP kubwa lakini watu wanakufa njaa, hakuna kazi, watu wanaishi kwenye slums, umesikini umekithiri. Kenya ni failed stateTanzania umaskini tupu.. Nchi Kubwa GDP ndogo
Waambie hao jamaa.. Ujinga tu umewajaaLakini hakuna njaa, Kenya GDP kubwa lakini watu wanakufa njaa, hakuna kazi, watu wanaishi kwenye slums, umesikini umekithiri. Kenya ni failed state
http://allafrica.com/stories/201006231033.html
Dah! Hii hatari sana, ila tuwaombee maana hili bomba walikua wamelisubiri kwa hamnu liwatoe kwenye lindi la umaskini, unajua kwa kweli haileti raha kuzungukwa na maskini, hii inatukwamisha hata sisi.
Hebu ona hii ramani hapa chini Kenya ilivyozungukwa na nchi maskini pande zote, hii sio sawa tunakwama kwa kweli, they say your neighborhood can define your destiny. Tatizo mivivu sana hawa.....
![]()
Lakini hakuna njaa, Kenya GDP kubwa lakini watu wanakufa njaa, hakuna kazi, watu wanaishi kwenye slums, umesikini umekithiri. Kenya ni failed state
http://allafrica.com/stories/201006231033.html
Waambie hao jamaa.. Ujinga tu umewajaa
We are lucky to have an Ocean.Dah! Hii hatari sana, ila tuwaombee maana hili bomba walikua wamelisubiri kwa hamnu liwatoe kwenye lindi la umaskini, unajua kwa kweli haileti raha kuzungukwa na maskini, hii inatukwamisha hata sisi.
Hebu ona hii ramani hapa chini Kenya ilivyozungukwa na nchi maskini pande zote, hii sio sawa tunakwama kwa kweli, they say your neighborhood can define your destiny. Tatizo mivivu sana hawa.....
![]()
Dah! Hii hatari sana, ila tuwaombee maana hili bomba walikua wamelisubiri kwa hamnu liwatoe kwenye lindi la umaskini, unajua kwa kweli haileti raha kuzungukwa na maskini, hii inatukwamisha hata sisi.
Hebu ona hii ramani hapa chini Kenya ilivyozungukwa na nchi maskini pande zote, hii sio sawa tunakwama kwa kweli, they say your neighborhood can define your destiny. Tatizo mivivu sana hawa.....
![]()
We are lucky to have an Ocean.