ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Bunge la Uganda limelaani azimio la bunge la Umoja wa Ulaya linalozitaka Uganda na Tanzania kusitisha maendeleo ya miradi yao ya mafuta na gesi katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Katika kikao cha Alhamisi, Naibu Spika wa Uganda Thomas Tayebwa alisema azimio hilo linatokana na taarifa potofu na upotoshaji wa makusudi wa mambo muhimu kuhusu mazingira na ulinzi wa haki za binadamu.
Alisema inawakilisha kiwango cha juu kabisa cha ukoloni mamboleo na ubeberu dhidi ya Uganda na mamlaka ya Tanzania.
Hayo yanajiri wakati Uganda na Tanzania zinajenga mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (Eacop), lenye urefu wa kilomita 1,443 (maili 896) kutoka Ziwa Albert magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanga ya Tanzania kwenye Bahari ya Hindi.
Maoni ya Uganda yalikuja wakati azimio la bunge la Umoja wa Ulaya lililopitishwa siku ya Alhamisi likitahadharisha kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu na hatari ya kijamii na kimazingira inayotokana na mradi wa Eacop.
Bunge la EU linashauri mataifa wanachama kutotoa msaada wowote wa kidiplomasia au kifedha kwa miradi ya mafuta na gesi ya Uganda.
Baada ya vuta nikuvute sasa Bunge la Ulaya limemshinikiza mkurugenzi wa Total ajitoe kwenye ujenzi wa bomba hili na tayari unamsikia yeye mwenyewe anaongea ukimwangalia usoni unaona anachosema kinapingana na akili zake.
Kama nilivyouliza apo awali kwanini tuwashirikishe Wazungu kwenye mradi huu? Pesa inayotakiwa kuna uwezekano mkubwa sana kuzipata tukatangaza tenda nakujenga bila mashart ya wazungu/washenzi.
#ChanzoBBC
#StarTvUpdates
Pitia iyo link utapata mwanga kabla hujaanza kurusha makombora.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
www.monitor.co.ug
Katika kikao cha Alhamisi, Naibu Spika wa Uganda Thomas Tayebwa alisema azimio hilo linatokana na taarifa potofu na upotoshaji wa makusudi wa mambo muhimu kuhusu mazingira na ulinzi wa haki za binadamu.
Alisema inawakilisha kiwango cha juu kabisa cha ukoloni mamboleo na ubeberu dhidi ya Uganda na mamlaka ya Tanzania.
Hayo yanajiri wakati Uganda na Tanzania zinajenga mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (Eacop), lenye urefu wa kilomita 1,443 (maili 896) kutoka Ziwa Albert magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanga ya Tanzania kwenye Bahari ya Hindi.
Maoni ya Uganda yalikuja wakati azimio la bunge la Umoja wa Ulaya lililopitishwa siku ya Alhamisi likitahadharisha kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu na hatari ya kijamii na kimazingira inayotokana na mradi wa Eacop.
Bunge la EU linashauri mataifa wanachama kutotoa msaada wowote wa kidiplomasia au kifedha kwa miradi ya mafuta na gesi ya Uganda.
Baada ya vuta nikuvute sasa Bunge la Ulaya limemshinikiza mkurugenzi wa Total ajitoe kwenye ujenzi wa bomba hili na tayari unamsikia yeye mwenyewe anaongea ukimwangalia usoni unaona anachosema kinapingana na akili zake.
Kama nilivyouliza apo awali kwanini tuwashirikishe Wazungu kwenye mradi huu? Pesa inayotakiwa kuna uwezekano mkubwa sana kuzipata tukatangaza tenda nakujenga bila mashart ya wazungu/washenzi.
#ChanzoBBC
#StarTvUpdates
Pitia iyo link utapata mwanga kabla hujaanza kurusha makombora.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
EU seeks to delay Uganda's oil pipeline works
The vote by a majority of the EU Parliament came hours after Uganda’s MPs had labeled an earlier move to block the project as racist and imperialistic