12 March 2025
Kampala
Picha : rais Salva Kiir na makamu wa kwanza wa rais Dr. Rick Machar
Mkuu wa majeshi ya ulinzi wa Uganda jenerali Kainerugaba Muhoozi athibitisha askari wa vikosi maalum yaani makomando wa UPDF watua katika mji mkuu wa Juba South Sudan kufuatia tishio la kuzuka mapigano baina ya kambi ya rais Salva Kiir na upande wa kambi ya makamu wa kwanza wa rais Dr. Rick Machar yanayotishia mkataba wa mwaka 2018 wa pande hizo wa mbili kuwa na maridhiano ya amani kuvunjika.
View: https://m.youtube.com/watch?v=yKx_SfIE1XI
Bunge la Uganda limehoji hali hiyo ya Uganda kupeleka majeshi nchini South Sudan ..
Wabunge wa Bunge la Uganda linataka upelekaji wa majeshi nchi jirani ufuate utaratibu wa kulifahamisha bunge maana operesheni za UPDF huko Bunia Uturi DR Congo pesa zinatumika.
Na sasa jeshi la Uganda UPDF limepelekwa South Uganda hiyo inamaana fedha zaidi, bila bunge kuhusishwa pesa zaidi za kodi na bajeti mpya inahitajika
Kampala
Picha : rais Salva Kiir na makamu wa kwanza wa rais Dr. Rick Machar
Mkuu wa majeshi ya ulinzi wa Uganda jenerali Kainerugaba Muhoozi athibitisha askari wa vikosi maalum yaani makomando wa UPDF watua katika mji mkuu wa Juba South Sudan kufuatia tishio la kuzuka mapigano baina ya kambi ya rais Salva Kiir na upande wa kambi ya makamu wa kwanza wa rais Dr. Rick Machar yanayotishia mkataba wa mwaka 2018 wa pande hizo wa mbili kuwa na maridhiano ya amani kuvunjika.
View: https://m.youtube.com/watch?v=yKx_SfIE1XI
Bunge la Uganda limehoji hali hiyo ya Uganda kupeleka majeshi nchini South Sudan ..
Wabunge wa Bunge la Uganda linataka upelekaji wa majeshi nchi jirani ufuate utaratibu wa kulifahamisha bunge maana operesheni za UPDF huko Bunia Uturi DR Congo pesa zinatumika.
Na sasa jeshi la Uganda UPDF limepelekwa South Uganda hiyo inamaana fedha zaidi, bila bunge kuhusishwa pesa zaidi za kodi na bajeti mpya inahitajika