Uganda yasalimisha umiliki uwanja wa ndege Entebbe kwa Wachina

Uganda yasalimisha umiliki uwanja wa ndege Entebbe kwa Wachina

Na ukirejea maneno ya Hayati Magufuli RIP baba Shujaa wetu. Ni dhairi kuwa tukiingia kichwa kichwa na deal la Wachina pale Bandari ya Bagamoyo.

Tunaweza jikuta njiapanda kama inayowakuta wenzetu wa Uganda Sasa.

Ghafla mnasikia Bandari ya DSM ni Mali ya Beijing
Watu hamjui kitu mnaandika tu, huo mradi hautekelezwi kwa hela ya mkopo, ni muwekezajo anakuja kuwekeza.

Acheni upotoshaji
 
Msihofu tutawapa Chato airport wakamate tukishindwa kulipa mkopo wao.

Tofauti ya mchina na beberu, beberu akamati mali ya mdaiwa.
 
kwa hiyo hamtaki kulipa mikopo yenu maana ukiwa na hofu hiyo mana yake huna nia ya kulipa
 
Watu hamjui kitu mnaandika tu, huo mradi hautekelezwi kwa hela ya mkopo, ni muwekezajo anakuja kuwekeza.

Acheni upotoshaji
Hata gesi mlitetea hivyo hivyo kuwa mgao wa umeme utakuwa historia lakini lakini mpaka sasa
 

Mkuu mchina mwenyewe amekana
 
Hebu fikiria Uganda wangekuwa na mtu kama Prof Assad ni kwamba madhaifu ya mkataba/ madeni ya Wachina yangemulikwa mapema na uwanja wa ndege Entebe ungepona.

Waje Tanzania wajifunze utawala bora.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hebu fikiria Uganda wangekuwa na mtu kama Prof Assad ni kwamba madhaifu ya mkataba/ madeni ya Wachina yangemulikwa mapema na uwanja wa ndege Entebe ungepona.

Waje Tanzania wajifunze utawala bora.

Maendeleo hayana vyama!
Kwan CAG ndiyo decision maker wa mikataba kwenye nchi au 🤣 🤣 🤣 ,unaongea as if Tanzania ina mikataba bora duniani kutokana na ma CAG wetu
 
Wewe kaa ukijua tu kuwa China walishapewa hiyo deal tangu 2015 na CCM, Magufuli alikuwa anaburudisha tu huku akichelewesha, lakini bandari itajengwa tutake au tusitake labda CCM watolewe madarakani.

Kama gesi ya Mtwara wachina walipewa, nini kingine watanyimwa?
Hivyi ulazima huu kwani kijana Yule hakumalizana na wachina,si tulisikia mzee aliingilia Kati?
Wewe kaa ukijua tu kuwa China walishapewa hiyo deal tangu 2015 na CCM, Magufuli alikuwa anaburudisha tu huku akichelewesha, lakini bandari itajengwa tutake au tusitake labda CCM watolewe madarakani.

Kama gesi ya Mtwara wachina walipewa, nini kingine watanyimwa?
Kwani yule kijana hakumalizana na wachina?,tulisikia mzee aliingilia Kati! Kumbe Kati ni kuwapa gesi na bandari ya Bagamoyo!
 
ILA HAO MANABU
Waliouza na kununua babu zetu kama maandazi leo ndo unawaona wana UTU? Aisee
ILA HAO MABABU ZETU MASALIA YAO LEO YANAWATAWALA HADI WAZUNGU,ULISHAWAHI ONA HATA MUAFRIKA AMEKUWA MEYA CHINA??
 
ILA HAO MANABU

ILA HAO MABABU ZETU MASALIA YAO LEO YANAWATAWALA HADI WAZUNGU,ULISHAWAHI ONA HATA MUAFRIKA AMEKUWA MEYA CHINA??
Wanasaidia nini Afrika hao the so called 'masalia'..? Bila ya sisi wenyewe kuamka na kujitambua si Uchina wala Amerika watakuja kwa ajili ya kututoa kwenye umaskini. Sio wajomba zetu wale.
 
Wanasaidia nini Afrika hao the so called 'masalia'..? Bila ya sisi wenyewe kuamka na kujitambua si Uchina wala Amerika watakuja kwa ajili ya kututoa kwenye umaskini. Sio wajomba zetu wale.
AKILI ZA KUSAIDIWA NI AKILI ZA KIMASIKINI CHA MSINGI TUKIAMUA TUNAWEZA
 
komenti za wengi hapa wana laumu china/wachina

Hivi waganda walilazimishwa kukopa?
je mkopo ulitumika kama ilivyo kusudiwa?
je kulikuwa na ulazima gani wa kufanya upanuzi kwa fedha za mkopo?
je ni faida gani zimepatikana kutokana na upanuzi wa uwanja?


ushauri wangu:
Ule mradi wa Bagamoyo, dhamana ya mkopo iwe kisiwa cha unguja na Pemba
 
Na hapo ni kuboresha tu uwanja!
Hii mikopo yetu, nasikia pamoja na riba ni 82 T, tumeweka nini dhamana?
Naamini madalali wa mikopo wangejua vitu vilivyowekwa rehani, wasingeshangilia mvinyo baada ya kupewa mikopo.
 
komenti za wengi hapa wana laumu china/wachina

Hivi waganda walilazimishwa kukopa?
je mkopo ulitumika kama ilivyo kusudiwa?
je kulikuwa na ulazima gani wa kufanya upanuzi kwa fedha za mkopo?
je ni faida gani zimepatikana kutokana na upanuzi wa uwanja?


ushauri wangu:
Ule mradi wa Bagamoyo, dhamana ya mkopo iwe kisiwa cha unguja na Pemba
Nimependa ushauri ulioutoa mkuu. Na iwe hivyo
 
Kwa huzuni kubwa Serikali ya Uganda imeshindwa kulipa deni kiasi cha dola kilioni 207 na kupelekea kutaifishwa uwanja wao wa ndege walioweka bondi. Iwanja wa Entebe sio mali ya Ugamda tena. Wachina wawetwaa uwanja wa ndege wa Uganda hii ni wazi watu weusi uwezo wetu ni mdogo sana.

Walianza Zambia sasa ni zamu ya Uganda.

Namshauri Rais Ndugu Samia kuwa makini na Ushauri wa Bandari ya Bagamoyo. Achana na huo mpango wa bandari hizo hela ni nyingi sana hatuwezi kuzilipa utaingiza nchi kwenye deni kubwa sana.

View attachment 2023859


ON Tuesday, 17 November 2015, the Uganda government represented by the then finance ministry and the Civil Aviation Authority, signed an agreement with Export-Import Bank of China (Exim Bank) to borrow U$207 million at two per cent upon disbursement. The loan had a maturity period of 20 years including a seven-year grace period.

It has now emerged that the deal signed with the Chinese lenders virtually means Uganda “surrendered” its most prominent and only international airport.

The Uganda Civil Aviation Authority (UCAA) says some provisions in the Financing Agreement with China expose Entebbe International Airport and other Ugandan assets to be attached and taken over by Chinese lenders upon arbitration in Beijing.

It also emerged that China has rejected recent pleas by Uganda to re negotiate the toxic clauses of the 2015 loan, leaving Ugandan President Yoweri Museveni’s administration in limbo.

According to the Daily Monitor of 25 November 2021, the Ugandan government waived international immunity in the agreement it signed to secure the loans, exposing Entebbe International Airport to take over without international protection.

In desperation, Uganda in March sent a delegation to Beijing hoping to re negotiate the toxic clauses of the deal but the officials came back empty-handed as China would not allow the terms of the original deal to be varied.

Last week, Uganda’s Finance Minister Matia Kasaija apologized to parliament for the “mishandling of the $207 million loan” from the China Exim Bank to expand Entebbe International Airport.

“I apologize that we shouldn’t have accepted some of the clauses,” Kasaija told members of the committee in response to questions asked by the legislators. There were also questions over the interest rate that was set by the China Exim Bank for the funds placed in an off-shore Standard Bank account that was used as collateral for the project.

Three weeks ago, Uganda Parliament’s Committee on Commissions, Statutory Authorities and State Enterprises raised concern over terms of the loan acquired to upgrade and expand Entebbe International Airport.

Committee members led by chairperson Joel Ssenyonyi demanded the Minister for Finance, Planning and Economic Development Maria Kasaija, to explain whether due diligence had been made prior to government signing the agreement with the Chinese bank.

Ssenyonyi asked the finance minister to explain at what stage the due diligence had been done on the loan financing terms, noting that the terms were not in favour of the tax payer.

“It is right to understand how China has done this. But then, how has Uganda always done its loan agreements? This would have provided a meeting point between the two parties,” said Ssenyonyi.

A Legal Advisor at the finance ministry told the committee that they reviewed the agreement, especially on the waiver of immunity. He admitted that some conditions could not be negotiated.

“The President on his trip to China, raised this as one of the challenges that China ought to address in our agreement,” the advisor told the committee while under Oath.

Progress of works at the airport has reached 75.2 per cent, with two runways having reached overall completion of 100 per cent.

The phase one project that commenced on 10 May 2016, was expected to have been completed by 09 May 2021. It was extended to 05 December 2022. But still, there are genuine fears the airport could be lost as Kampala is struggling to meet the strict loan repayment regimen.

Built in 1972, Entebbe International Airport is Uganda’s only international airport and handles over 1,9 million passengers per year. Its seizure by China would greatly dent Museveni’s legacy and expose him to election defeat especially by the younger and fierce rival Bobi Wine.

Museveni, who came to power on the back of an armed uprising in 1986, has defied the political laws of gravity which have felled other long-serving leaders in the region.

The 77-year-old has managed to maintain his grip on power through a mixture of encouraging a personality cult, employing patronage, compromising independent institutions and sidelining opponents.

======

Uganda loses most prominent airport to China for failing to repay loan

New Delhi:
The Ugandan government has lost its major airport to China for failing to repay a loan, African media reported. The government has failed to reverse a loan agreement with the Chinese which had repayment conditions of attaching its only airport, Today reported.

Entebbe International Airport and other Ugandan assets were attached and agreed to be taken over by Chinese lenders upon arbitration of the loan, the report said.

According to reports, President Yoweri Museveni had sent a delegation to Beijing hoping to renegotiate the toxic clauses, the report added.

The visit was unsuccessful as China authorities refused to allow any alteration in the original terms of the deal, the report said.

The Uganda government, represented by the finance ministry and the Civil Aviation Authority at the time, had on November 17, 2015, signed an agreement with Export-Import Bank of China (Exim Bank) to borrow U$207 million at two per cent upon disbursement; with a maturity period of 20 years including a seven-year grace period.

The deal signed with the Chinese lenders virtually means Uganda “surrendered” its most prominent airport to China, the report said.

The Uganda Civil Aviation Authority (UCAA) said some provisions in the Financing Agreement expose Entebbe International Airport and other Ugandan assets to be attached and taken over by Chinese lenders upon arbitration in Beijing.

China has rejected pleas by Uganda to renegotiate the toxic clauses of the 2015 loan, leaving Ugandan President Yoweri Museveni’s administration in limbo.

According to the Daily Monitor of Uganda, the Ugandan government waived international immunity in the agreements it signed to secure the loans, exposing Entebbe International Airport to take over without international protection.

Last week, Uganda’s Finance Minister Matia Kasaija apologised to parliament for the “mishandling of the $207 million loans” from the China Exim Bank to expand Entebbe International Airport.

Hii ni zaidi ya kashfa aiseee🙌🙌museveni aachie tu nchi
 
Back
Top Bottom