Ugandan Traders Turn to Dar Port As Kenya Polls Close in



Wao, umeongea vizuri kuwa unasema ukweli! Lakini nikashangaa hujasema ukwli hapo! Ndo unazidi kushangaza zaidi!

Au basi, kila mtu aseme hapa, maana hoja imeanzia mauaji ya kimbali ya Rwanda kuwa hatukufanya kitu! Hebu sema hapa ukweli, nchi yako ilifanya nini kwenye hayo mauaji? Maana ulivyo tuliyofanya Tanzania huwezi kusema, hiyo itakuwa kazi yangu kukwambia! Sema tu ukweli kama unavyojinasibu hapa!

Suala la kuipita Kenya wala hatusubiri eti muingie kwenye machafuko, wala hatuwaombei hilo! Lakini pia msije kuleta machafuko makusudi ili mkitoka huko mkakuta tumewazidi basi mlaumu machafuko! Tunataka tuwazidi huku mkiona hivi hivi!

Na mimi ngoja nikwambie, kuwazidi kiuchumi hatutegemei eti mizigo ya rwanda na Uganda! La hasha! Tulijua tulipokosea na tutatumia rasilimali zetu hizi hizi kuwazidi!

Hivyo malizeni uchaguzi salama tubaki kupambana kiuchumi huku mkiwa mnaona!

Najua kuhusu kuzidiwa ni kitu hutaki kusikia, lakini nakwambia, majibu yako hayana tofauti na majibu ya mtu aliyeunda meli ya Titanic, alivoulizwa ubora wa meli ile akasema haitaweza kuzama kamwe! Kilichotokea kila mtu anajua!


Sasa na ninyi Kenya mtakuwa kama Titanic, mkiamini hamtaachwa kufumba na kufumbua hamtaamini!
 

Ya Rwanda unataka uambiwe nini watu wanachinjana hadi milioni mkiwa mpo mpo tu hapo pembeni mnashangaa shangaa, tena Rwanda ni kama mkoa wenu hatat ukifuata kihistoria.

Habari za nyie kutupita tulianza kuzisikia miaka ya Nyerere, wakati huo toafuti zetu kiuchumi ilikua ndogo sana. Tukaja na nyie kama mpo nyuma yetu hatua chache, lakini hadi pale tulibadilisha uongozi dhalimu, ndio tuliwaaga kwaheri. Cha ajabu ni kwamba tuliingia kwenye machafuko na hata hamkutukaribia, tukachezea mabomu ya alshabaab bado mkiwa nyuma nyuma tu.

Leo hii tunapepea na kupaa, mlituahidi kwenye utawala wa Magufuli mtatupita ndani ya mwaka mmoja, leo hii tunaona mumeishia matamko na mikwara ya makinikia. Subiri muone tukinyakua soko lote hata la Tanzania Kaskazini na kanda ya ziwa, tayari ujenzi umeanza wa kuwapelekea SGR ya kisasa ambayo itaishia kwenye bandari ya Kisumu inayojengwa mpya na ya kisasa.

Sisi tunafanya kwa vitendo sio makelele, ni vitu vinayoonekana na kuhesabiwa.
 

If there is one thing I love about the game of chess, is when my opponent is deluded into thinking they have the upper hand after capturing some of my most important pieces, then- checkmate!
 
Saivi Mr middle income tz inaamuka kwa kasi kuweni makini sana,kwani upotevu Wa mapato umepungua rushwa imepungua kwani taifa haliwez kuinuka wakati haki haipo, utendaji KAZI serikalini umeongezeka pia uwajibukaji si kama Zamani,hivo ndani ya muda uchumi utapaa, pia kufufuliwa atcl ita boost watalii wengi hivyo secta ya utalii itainuka, sgr ikikamilika soko LA Rwanda Burundi Uganda na Congo kijogorafia tutateka ,gesi ipo mbioni serikali itakusanya mapato,sasa madini hayatoloshwi nje hovyo kama Zamani, hivyo serikali itakusanya kodi za kutosha pia mikataba mibovu iliokua inatupora inaenda kuangaliwa upya, hivyo hayo yote yakisimamiwa vuzuli Mr middle mambo yatagekua si muda mrefu mtaona impacts yake , pia muda utafika KQ yenu itashindwa kufanya KAZI KAZI kwani ushindani utakua Mkubwa hivo amkeni tz inawapumlia jirani
 
Watumie akili zao zote kuona hawabanduki kama wakitumia hiyo plan B yao,

Yaani wajipange kuna mengi sana ya kuwawezesha asilimia kubwa sana ibaki na pia kuwa na faida sana kww nchi yetu.

Habari njema usongelewa, na nchi zingine zilizoamia Namibia etc watarudi Tanzania

Kuna ushindani mkubwaz najua wengi wanafikiria labda Mombasa tu... naaaaaa kuna hizo nchi za uoande uleeeeeeee watu hawajali kukaa barabarani masaaa/masiku ila wapate huduma nzuri ambayo hawajisikii kuwa wamepoteza pesa ambazo hazikutakiwa kuchajiwa.. wanataka mengi...

Huduma nzuri muhimu na waanze pia kutangaza mabadiliko, wengi wafahamu waweke habari kwenye websitr yao na kuweka yote kama kuna ya mikato au hakuna... CS waweze kujibiwa haraka sanaaaaa.... ni kujiongeza tu Tanzania yetu kuna mengi napita sasa
 
sijui unaongea nin?Kenya haipo hata kwenye fastesr growing economy in africa achilia mbali in the world.
Katika watu wabaya na wanyama east africa ni nyie wakikuyu.Iko siku mtaingia anga zetu na tutawaharibu.
Tehehehee. Leo asubuhi lazima ulikunywa supu ya Albino... Duuuh... Povu la Govi kweli.....
 

You keep forgetting Museveni imports nothing.
Businessmen are the ones who choose which is the most cost effective route.
The only way for Ugandan businesspeople to shift to the more expensive Tanzania route en masse, is by either forcing them through legislation (not going to happen) or compensating them (not going to happen either).
 

Museven imports nothing but Ugandan businessmen do. That's y during his two days visit he was accomplished by most of them! So unafikiri walikuja kufanya nini? walikuja kuomba dar port kupunguza non tariff costs (ambazo tayari zimeondolewa as we speak) ili waendelee kutumia port hii kwa 100%

Saying eti wafanya biashara wa ug kutumia dar Port hadi wawe foeced, hizo ni ndoto za alinacha!

Unaweza soma kwa udani gazeti lenu hili liliandika nini kuhusu suala hilo.

http://www.theeastafrican.co.ke/new...gandan-traders/2558-3829790-650n7h/index.html
 

Lol!
Presidents round up businessmen when they go abroad to look for opportunities all the time. It is also a way for the businesspeople to seek favours from the government of the day.
And saying that "he was accompanied by most of them".. Don't make me laugh. Kwani how many businesspeople does Uganda have?

And as I told you, unless during a time of political crisis, the Kenyan route will forever be cheaper for Ugandans. Lakini mkiweza mnaweza songesha Dar ikaribie Kampala.
There's no problem with you dreaming, but it will just remain that.
 
Heeee! Unauliza wako wafanyabiashara wangapi ug? Unadhani wafanyabiashara wote wa UG wanaimport mizigo? Nikisema most of them namaanisha importers! Na waliwakilishwa vyema na mwenyekiti wao!

Naona hata hukusoma link, maana hapo imeelezwa mipango ya kuwa na bandari kavu mwanza kwa wateja wa ug! Usiniulize umbali uliopo kati ya kampala na mwanza!
 

Ni aibu sana kwako kama hujui tz ilifanya nini kwenye mauaji ya kimbali! Aibu kweli kweli!

Halafu kuhusu kuachana kiuchumi tangu kipindi cha nyerere, hilo liko wazi maana sisi tuliingia kwenye ujamaa ambao nchi zote zilizopitia mfumo huu zilishindwa, labda china ndo walijitutumua majuzi hapa! Tungeingia wote kwenye ubepari hadithi ingekuwa nyingine!

Tena eti unashangaa kwa nini hatukuwapita wakati mko kwenye machafuko! Ooh no! Tusingeweza kuwafanyia hivyo maana mngelalamika sana pengine mngeenda kukata rufaa UN[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tunataka kuwapita mkiwa macho hivi hivi mnaona sio msingizie machafuko!
Kusema eti tuliwaahidi tutawapita kwa mwaka mmoja wa magufuli, hayo ni maneno yako umejilisha! Ukuaji wa uchumi sio riadha au mpira wa miguu! Hauna time frame!

Unaongelea kunyakua soko hadi la kanda ya ziwa? Keep dreaming!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…