ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,044
Mara zote hawa jamaa hukalia kuti kavu, siku zote iko hivyo tu. Ukabila lazima tu uje uwatafune. Wafanye tu kamkakati ka inteligensia na wajaluo nao washike nchi hata kwa awamu moja tu, watachoka kupiga kura watasaka njia mbadala. Hawa bado si wakenya.Kaka usinikumbushe the issue of machetes. Ile mwaka 2007 niliona mkenya mmoja macheting the fellow like mgomba. Duuu hawa watu ni shida. Naona wanakuwa na grievances za muda mrefu, uchaguzi ndo sehemu ya kuzitoa. Wenyewe huita historical injustice.
Sent using Jamii Forums mobile app