Uganga na uchawi uliotumika miaka ya nyuma kudhibidi dhuluma na uonevu umeondoka tuombe Mungu urudi ili tudhibiti uonevu.

Uganga na uchawi uliotumika miaka ya nyuma kudhibidi dhuluma na uonevu umeondoka tuombe Mungu urudi ili tudhibiti uonevu.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Miaka ya nyuma huko Zamani za miaka ya kupata uhuru mpaka miaka tisini ukiua mtu hana hatia ilikuwa lazima uwe chizi au ufe kifo kibaya sana.

Polisi alikuwa akibambikia mtu kesi lazima afukuzwe kazi au kupata ajali.

Ilikuwa ukidhulumu mali ya mtu lazima ufirisike na kuwa masikini.

Leo hii watu wanadhurumiwa na kuoenewa hovyo. Ndugu zao wanauliwa hovyo, wanabambikiwa kesi hoyvo. Ee Mungu tukumbuke mizimu ya zamani irudi na kutusaidia.
 
Duuh kuna uhusiano upi kati ya Mungu na mizimu
Mungu ni nani ?
Mizimu ni kina nani ?
 
Shida imekuja baada ya ninyi/wao kujifanya wajuaji kwa kukimbilia dini za wageni ambazo zikaharamisha tamaduni zenu/zetu/zao na kuziita ushirikina na umizimu/uchawi/uganga,

Sas mmekimbilia kwa Miungu ya dini inayowataka muwasamehe hao waizi na wadhurumaji, uku ninyi mkiahidiwa uzima wa milele na wanawake70 uko jehanam kama sio pepon[emoji28][emoji28].

Rudini ktk asili yenu muone kama hayo maonevu yataendelea.

Mila zenu zinawarevange kwa kuzisariti, zinawaacha mjitafune wenyewe kwa kuuwana, kutapeliana, kuumizana, kutawaliwa, kuibiana, kuongozwa na viongozi useless, hiyo yote Nature imeruhusu sababu mumekataa Asili zenu/zetu za Uungu[emoji28][emoji28][emoji28].

Hakuna siku TZ/Afrika itakuja kuwa huru bila ya kuirudia Asili, hakuna na haitowai tokea hata akirudi huyo nabii issa/yesu wa uongo, hatoweza kutatua changamoto za Afrika, maana huyo si Mtetez wetu, sio Mungu wetu, si wa jamii yetu.

Afrika is for Africans &black only..
 
Miaka ya nyuma huko Zamani za miaka ya kupata uhuru mpaka miaka tisini ukiua mtu hana hatia ilikuwa lazima uwe chizi au ufe kifo kibaya sana.

Polisi alikuwa akibambikia mtu kesi lazima afukuzwe kazi au kupata ajali.

Ilikuwa ukidhulumu mali ya mtu lazima ufirisike na kuwa masikini.

Leo hii watu wanadhurumiwa na kuoenewa hovyo. Ndugu zao wanauliwa hovyo, wanabambikiwa kesi hoyvo. Ee Mungu tukumbuke mizimu ya zamani irudi na kutusaidia.
Nyakati zinabadilika .... Asili inatoweka.. Maarifa ya zamani yanapotea usasa unatamalaki.. Usitegemee miujiza tena
 
Duuh kuna uhusiano upi kati ya Mungu na mizimu
Mungu ni nani ?
Mizimu ni kina nani ?
Mungu ni Muumba wa viumbe vyote unavyoviona na usivyoviona(Binadamu, mapepo, majini, Dragons, Ndege, wanyama wote, n.k)

Mizimu ni kama ile Musa na Elia ilipomtokea Yesu alipokuwa pale mlimani au Babu zako waliokufa
 
Mungu ni Muumba wa viumbe vyote unavyoviona na usivyoviona(Binadamu, mapepo, majini, Dragons, Ndege, wanyama wote, n.k)

Mizimu ni kama ile Musa na Elia ilipomtokea Yesu alipokuwa pale mlimani au Babu zako waliokufa
aisee basi kutumia mizimu sio dhamb
 
Back
Top Bottom