SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu,
Juzi nilikuwa na machungwa 20 yakiwa ndani ya mfuko na niamua kuwagawia watoto 20 kila mmoja chungwa moja moja. Cha ajabu kila mmoja alipata chungwa moja lakini moja nikabaki kwenye mfuko ulokuwa na machungwa hayo. Je hii iliwezekanaje.
Juzi nilikuwa na machungwa 20 yakiwa ndani ya mfuko na niamua kuwagawia watoto 20 kila mmoja chungwa moja moja. Cha ajabu kila mmoja alipata chungwa moja lakini moja nikabaki kwenye mfuko ulokuwa na machungwa hayo. Je hii iliwezekanaje.