Junior Clinton Mr.
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 1,075
- 1,423
Naomba kujua gharama za kupanda hiyo treniWatalii 64 kutoka Ujerumani na Netheland wamewasili jijini Dar es Salaam leo kupitia reli ya TAZARA wakitokea nchini Afrika Kusini kwa kutumia treni maarufu ya kitalii ya ROVOS.
Watalii hao wapo kwenye ziara ya kitalii wakilenga kutembelea mbuga za wanyama na visiwa vya Zanzibar.
Kwa mujibu wa meneja mkuu wa TAZARA upande wa Tanzania, Fuad Abdallah watalii mbalimbali huja nchini mara tano kwa mwaka kwa kutumia ROVOS kupitia reli ya TAZARA.View attachment 853663View attachment 853664View attachment 853665View attachment 853666View attachment 853668
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua ni ya Mwaka juzi mkuuHii stori sio ya mwaka jana au juzi kweli? Au wamekuja tena?
Watalii 64 kutoka Ujerumani na Netheland wamewasili jijini Dar es Salaam leo kupitia reli ya TAZARA wakitokea nchini Afrika Kusini kwa kutumia treni maarufu ya kitalii ya ROVOS.
Watalii hao wapo kwenye ziara ya kitalii wakilenga kutembelea mbuga za wanyama na visiwa vya Zanzibar.
Kwa mujibu wa meneja mkuu wa TAZARA upande wa Tanzania, Fuad Abdallah watalii mbalimbali huja nchini mara tano kwa mwaka kwa kutumia ROVOS kupitia reli ya TAZARA.View attachment 853663View attachment 853664View attachment 853665View attachment 853666View attachment 853668
Sent using Jamii Forums mobile app