GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama ilivyo pia kwa aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji kwa alivyowachambua bila Huruma kwa Kashfa.Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu haraka iwezekanavyo.
Acha kujifariji ndugu yangu.Kuna Timu itegemee Msimu ujao ukianza tu Wachezaji wake wengi Kuugua kwakuwa Watarogana sana kwa Kukufuru.
Tupitishe mchango wa kujenga mnara wa Rage haraka sana.Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu haraka iwezekanavyo.
Kaacha Simanzi kwa Hopeless na wasiojua Mpira. Binafsi yaani Nimefurahi mno kwani Yeye ndiyo alikuwa akituumiza.Acha kujifariji ndugu yangu.
Mimi ni mwanaSimba, lakini ukweli unabakia pale pale, jana Utopolo wametupiga counter attack nzito asubuhi asubuhi, Chama ameacha simanji ya ajabu kwa wanasimba na ameamsha vibe ya ajabu kule jangwani mpaka muda huu.
Kuzalishwa au?Nabadoo
Ameondoka Kaseja,Acha kujifariji ndugu yangu.
Mimi ni mwanaSimba, lakini ukweli unabakia pale pale, jana Utopolo wametupiga counter attack nzito asubuhi asubuhi, Chama ameacha simanji ya ajabu kwa wanasimba na ameamsha vibe ya ajabu kule jangwani mpaka muda huu.
Fact kubwa sana...Kaacha Simanzi kwa Hopeless na wasiojua Mpira. Binafsi yaani Nimefurahi mno kwani Yeye ndiyo alikuwa akituumiza.
MBUMBUMBU [emoji16]Rage anastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu haraka iwezekanavyo.
Yule jamaa alituita sisi nyani na mbwa. Siwezi msahau yule mshenzi.Kama ilivyo pia kwa aliyekuwa Kocha Mkuu wenu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji kwa alivyowachambua bila Huruma kwa Kashfa.
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu 🤣Yanga ni kikundi cha majini na wachawi ila Simba sc tutawashinda kwa Jina la Yesu kristo.
Endelea tu Kunitafuta kwani naona ONYO KALI ulilopewa bado halijakutosha pamoja na Adhabu za hapa na pale ulizopewa.Unawaza uchawi tu sio?Mpira sio uchawi wala kulogana wewe mshamba.
Kwa sasa GSM wanataka kumsajili Mwamedi.Acha kujifariji ndugu yangu.
Mimi ni mwanaSimba, lakini ukweli unabakia pale pale, jana Utopolo wametupiga counter attack nzito asubuhi asubuhi, Chama ameacha simanji ya ajabu kwa wanasimba na ameamsha vibe ya ajabu kule jangwani mpaka muda huu.