Ughaibuni kuna majini wengi majumbani kupelekea nyumba nyingi kutelekezwa

Ughaibuni kuna majini wengi majumbani kupelekea nyumba nyingi kutelekezwa

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Ushawahi kujiuliza nchi ughaibuni kuna vituko vingi vya majini kuliko mikasa ya hapa. Na rafiki yangu ni mganga ambaye hupata safari nyingi nchi za kiarabu kwa ajili ya kwenda kupambana nayo.

Unaambiwa alifika Oman ile nyumba walikuwa wana naswa vibao sana na hawafahamu ni nani na kila mtaalamu aliyekuja pale walishindwa ila wanasema wanaoweza kushindana nayo ni sisi huku kutoka Afrika.

USA nyumba zilizoachwa aka mapagara au nyumba unakuta watu hawakai usijaribu kujiendea ukaishi humo bila kuuliza wenyeji utaona mauza uza CCM inasubiri.

Majengo mengi yametelekezwa kuogopa mauza uza. Mbona Tanzania hukuti haya na kama yapo basi asilimia ndogo.

sddfdsfdfd.jpg
 
Waarabu wanaamini sana shirki, nilikuwa na baba yangu mdogo alikuwa anakwenda sana nchi za kiarabu kwa kazi ya uganga.

Mara nyengine walikuwa wanamfuata kisiwani Pemba kimatibabu.

Sisi wenyewe tulikuwa tunamuogopa
 
Waarabu wanaamini sana shirki, nilikuwa na baba yangu mdogo alikuwa anakwenda sana nchi za kiarabu kwa kazi ya uganga.

Mara nyengine walikuwa wanamfuata kisiwani Pemba kimatibabu.

Sisi wenyewe tulikuwa tunamuogopa
wewe ni mweka mada unatuhadaa si ndivyo..? sasa nakulamba ban!
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Huko uarabuni C ndiyo chimbuko la dini ya haki inakuwa je wanashindwa mambo madogo kama hayo.Pia wafuge kiti moto mambo yote yataenda safi
 
Ushawahi kujiuliza nchi ughaibuni kuna vituko vingi vya majini kuliko mikasa ya hapa. Na rafiki yangu ni mganga ambaye hupata safari nyingi nchi za kiarabu kwa ajili ya kwenda kupambana nayo.

Unaambiwa alifika Oman ile nyumba walikuwa wana naswa vibao sana na hawafahamu ni nani na kila mtaalamu aliyekuja pale walishindwa ila wanasema wanaoweza kushindana nayo ni sisi huku kutoka Afrika.

USA nyumba zilizoachwa aka mapagara au nyumba unakuta watu hawakai usijaribu kujiendea ukaishi humo bila kuuliza wenyeji utaona mauza uza CCM inasubiri.

Majengo mengi yametelekezwa kuogopa mauza uza. Mbona Tanzania hukuti haya na kama yapo basi asilimia ndogo.

View attachment 3014616
lipia tangazo
 
Back
Top Bottom