ugojwa wa macho waingia dar!

ugojwa wa macho waingia dar!

under the same sun

Senior Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
160
Reaction score
37
nini chanzo cha huu ugojwa wa musimu? nauita wa musimu kwa kuwa huja na kutoweka, macho yanakuwa mekundu, na ukimwangalia mwenye tatizo machoni nawe unakuambukiza, mwenye kujua atujuze,
 
red eyes hiyo, haina dawa....na macho yanawasha balaa, ukikupata utaumwa kama siku tatu hivi, halafu hautakurudia tena ukishakupata..lkn unaweza kumuuliza Dr. Kwani hapa natoa details kwa kutumia uzoefu
 
Kwani wahusika wa Afya washatoa taarifa kwa wananchi kuhusiana na Ugonjwa huo kwamba Umeingia Dar .
 
Back
Top Bottom