OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Elon Musk ana asili ya Africa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi mabaya ya VPN[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji119]Mkuu hizi mbona ni conspiracy theory bila kuumiza kichwa?
Wewe umejuaje haya?
Dah kwaiyo baba yake ni mtu mweusi kabisa au ni mzungu anayeishi SA?Kazaliwa africa baba yake ni engineer wa SA mama ake sina details ila ni mcanada my origin
Baba yake ni mweupe.Dah kwaiyo baba yake ni mtu mweusi kabisa au ni mzungu anayeishi SA?
Duuu kwa hiyo musk ni mvuta bangi??Hapana mkuu sio kama simkubali ila yani jamaa ni mbabe mno and iyo kitu inamfanya anakua phycho ndo maana anaweza ata vuta bangi akiwa anaojiwa wote tunajua weed inakupa confidence kwa wale baadhi sasa yeye alikua anajiandaa ki phscholgy kubana siri zake kwa kujibu strategically and ili aweze ivo ilimpasa ale weed
Ndio,aling'ang'ania sana kwenda kuishi states kwa sababu aliona huku afrika ndoto zake haziwezi kutimia,alimsisitiza sana dingi yake..jamaa mjanja sanaElon Musk ana asili ya Africa??
Blue Origin pia ni kampuni yake ya mambo ya spaceMmiliki wa Amazon ni jeff
Aha! Nikajua ni mmatumbi kama sisi ..ila kama kuzaliwa Africa iyo ni heshima tosha kwetu sisi wamatumbi.Baba yake ni mweupe.
Africa kutimiza ndoto kama zile ni uwongo, hakuna resources za kutosha kufanya vitu kama vile..kwanza serikali zetu hizi unapigwa kesi ya kuujumu uchumi..😀😀😀Ndio,aling'ang'ania sana kwenda kuishi states kwa sababu aliona huku afrika ndoto zake haziwezi kutimia,alimsisitiza sana dingi yake..jamaa mjanja sana
kabisaAha! Nikajua ni mmatumbi kama sisi ..ila kama kuzaliwa Africa iyo ni heshima tosha kwetu sisi wamatumbi.