Ugomvi mikubwa waibuka kati ya Floyd na Justin Bieber

Ugomvi mikubwa waibuka kati ya Floyd na Justin Bieber

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Wajuzi wa mambo embu nipeni dodoso kidogo, nini kimetokea kati ya maswahiba hawa wawili?

Justin Bieber alikuwa shabiki wa damu wa Floyd Mayweather lakini naona ghafla anamchukia Mayweather kupindukia.


Kwanza alianza kum unfollow IG kisha kufuta picha nyingi za pamoja alizopiga na Floyd.

Kama hiyo haitoshi, amekuwa akimkandia Floyd mara kwa mara na kusema pia hata pambano lake dhidi ya Conor McGregor hawezi kuhudhuria na pia Floyd Mayweather hana uwezo wa kumpiga Conor McGregor.

Na yeye Bieber bila kumumunya maneno amedai kuwa atakuwa upande wa Conor McGregor na anatamani Conor McGregor amtandike haswaaa Floyd Mayweather.

Maneno haya yamemkosesha amani sana Floyd ukizingatia Bieber ni rafiki yake pia ni kama mwanae, na mara nyingi amekuwa wakipeana sapoti mara kwa mara.


Ila Floyd katumia utu uzima wake hakutaka kusema mbovu juu ya Bieber wala nini, na anataka kum prove wrong Justin kwamba yeye (Floyd) bado hajaisha na ataendelea kuwa undefeated world champion miaka na miaka.
 
Wajuzi wa mambo embu nipeni dodoso kidogo, nini kimetokea kati ya maswahiba hawa wawili?

Justin Bieber alikuwa shabiki wa damu wa Floyd Mayweather lakini naona ghafla anamchukia Mayweather kupindukia.


Kwanza alianza kum unfollow IG kisha kufuta picha nyingi za pamoja alizopiga na Floyd.

Kama hiyo haitoshi, amekuwa akimkandia Floyd mara kwa mara na kusema pia hata pambano lake dhidi ya Conor McGregor hawezi kuhudhuria na pia Floyd Mayweather hana uwezo wa kumpiga Conor McGregor.

Na yeye Bieber bila kumumunya maneno amedai kuwa atakuwa upande wa Conor McGregor na anatamani Conor McGregor amtandike haswaaa Floyd Mayweather.

Maneno haya yamemkosesha amani sana Floyd ukizingatia Bieber ni rafiki yake pia ni kama mwanae, na mara nyingi amekuwa wakipeana sapoti mara kwa mara.


Ila Floyd katumia utu uzima wake hakutaka kusema mbovu juu ya Bieber wala nini, na anataka kum prove wrong Justin kwamba yeye (Floyd) bado hajaisha na ataendelea kuwa undefeated world champion miaka na miaka.
Wenzko wako Kibishara zaidi ili wahudhuriaji wawe wengi pamoja na wadhamini wa pmbano pia Mshiko wa ku bet uwe mkubwa its All business....tumia akili kubwa kujua hili....
 
Wenzko wako Kibishara zaidi ili wahudhuriaji wawe wengi pamoja na wadhamini wa pmbano pia Mshiko wa ku bet uwe mkubwa its All business....tumia akili kubwa kujua hili....
Hata mimi nilihisi hivi.
 
Ukawa madivision zero
emptybrain.png
 
Kuhudhuria hilo pambano tiketi si chini ya $107,000 aiseee pesa ambayo inaweza kubalisha maisha ya watu wengi humu jukwaani...m
 
Back
Top Bottom