Cc freeland
hapo tusi ni lipi? arrogance ni tusi? popo/kigeugeu ni tusi? au umeelewaje mtaalamu?
By the way Umefundishwa mtu akinya mtaani/barabarani na wewe unye kwa sababu yeye amekunya?
Naona hujielewi...naachana na ww
Kwani kocha na wachezaji watashiriki uchaguzi?
freeland usibishane naye huyo mtu uelewa wenu upo tofaut sana ndugu yangu ni sawa na barcelona ikijiandaa kucheza kombe la klabu bingwa ulaya ije kucheza mechi ya majaribio na temeke shooting star. wewe ni kama barcelona huyo jamaa ni kama temeke shootimg star. achana naye