Ugomvi wa Nancy Sumari Vs Nakaaya: Majibu kwa Mange

I woke up feelin like I was on the moon
I woke up feelin like I need a hundred goons

Looka da flick da wrist...wooop
Looka da flick da wrist...woop
 

unapokua celeb unakuwa jalala la watu?
Na yeye sio celebrity kunuka mbona matatizo yake na mmewe hawasimulii ninyi.
Awe anafanya research. MANGE NA LEMUTUZ THEY ARE SO MUCH ALIKE
 
Ila nimemfatilia huyo Dada mange mda mrefuu mno, na anapokuja na kitu faham kabisa Ana data sasa ukijifanya mkujia juu anafumua kila kitu, naamin mpk kutamka hayo yote kuhusu hio familia aitakua anakila chembe ya evidence,

halafu sidhani Kama kuna haja ya kumtukana kwanza yeye ni blogger, na anachopost sio lazima ukiamini na kukichukia ila unaweza kukaa na kukifikiriaa. ngoja tusubiriii atakuja naannii Kama Dada mtu kaongea ila amejitahid kuongeaa kwa busara.
 

Ah wapi...wala hana data kihivyo bana.

Sema tu mbele ya audience yake ndo anaonekana kama ana data.

Lakini si mtu ambaye anaweza kwenda toe to toe na blow for blow na watu makini.
 
Kiukweli katika hili mimi naungana na Mange. Hao akina Nakaaya ni celebrities hivyo yeye kuandika vile sio vibaya hata kidogo.
Ila basi, kutokana na issue ya Nancy kuiba bwana wa dada yake Nakaaya kujulikana basi limegeuka mwimba kwao ndio maana Nakaaya kaamua kusema vile kana kwamba hakuna ukweli.
Mtu akishakua celebrity anatakiwa akubali kua kuna positive na negative impacts zake.
Kama Mange angeandika kuwasifia leo hii wangekataa kisa ni mambo ya familia?
 
Ah wapi...wala hana data kihivyo bana.

Sema tu mbele ya audience yake ndo anaonekana kama ana data.

Lakini si mtu ambaye anaweza kwenda toe to toe na blow for blow na watu makini.

Yote Tisa, kumii hawezii kua na nguvu ya kuzungumza yale yote Kama hakuna chembe za uhalisiaa,
Hata Kama si 100% basi angalau ina approach ndio kitu ninachomaanisha, hebu tuanziee hapaa kuna haja yeyote ya dada mtu kuongea Kama anahisi hayo maneno hayana ukweli??

Na je, angenyamaza kimyaa angepungukiwa na nini? Kama ana uhakika huyo blogger hana ushahidi wowote?
 
Utu ni bora kuliko kitu. Wanaadamu tukumbuke kila lenye mwanzo halikosi mwisho, ipo siku watu wanaomsapoti watamcheka. Sie yetu macho japo tunaonekana haters!

Mimi nachomwitia mnafiki ni kwa kuwa naona ameamua amwanike Nancy kama vile ionekane kuwa na marafiki ni jambo baya hususani wenye pesa. Yeye kama ameamua ajitenge na marafiki its good for her, ila sio lazima maisha anayoishi yeye ya kutengwa wote wawe ivo.
 
wazabangah1 Sijaona mahali popote alipotukanwa Mange. Hakuna.
 
Last edited by a moderator:
Mange huwa anakua na evidence na data zipi? Zile emails za kimbeya na posts kutoka watsapp na Ig?
 
Yote Tisa, kumii hawezii kua na nguvu ya kuzungumza Yale yote Kama hakuna chembe za uhalisiaa,
Hata Kama si 100% basi angalau ina approach ndio kitu ninachomaanisha, embu tuanziee hapaa kuna haja yeyotee ya

Chembe ya uhalisia si uhalisia hata kidogo.

Dada mtu kuongea Kama anahisi hayo maneno hayana ukweli??

Ulitaka akae kimya hata kama ni ya uongo? Hujui kwamba uongo ukirudiwa mara nyingi watu wajinga wajinga huanza kuuamini?

Na je, angenyamaza kimyaa angepungukiwa na Nini?

Mtu anayechafuliwa jina na sifa kwa makusudi si busara kwake kukaa kimya.

Kama anauhakika huyo blogger Hana ushahidi wowote?

Huyo blogger hajatoa ushahidi wowote ule. Kaandika tu. Kuandika tu si kutoa ushahidi.
 
Kwa vile tupo kwenye media hii, mimi nimejibu kama nipo kwenye media hii. Sijajibia IG, sipo kule, naongelea ya hapa. Narudia tena. Mange hajatukanwa....bado.
 
Mange hakuweka evidence za chanzo cha tatizo ili kulinda reputation ya Nancy. Tena amebana comments hasa. Angeamua kuziachia Nancy asingekuwa anatoka ndani. Anajifanya decent kumbe holaaa. Alafu watu wako "wema awe kama Nancy" awe kama Nancy my foot..

Haya ndio mjue in and out za Huyo mnaemsifia daily. Pale ni faraja kotta tu ndio asimame anyooshee waovu mikono.
 
Mrembo by Nature Kweli Mange alikataa na akasema kua yeyote atakayeweka comment ya uchochezi au mbaya basi ataibana.
Kugombana ni jambo la kawaida tu wala sio ajabu.

Hakukuwa na haja ya Nakaaya kuliongelea hili kana kwamba sio kweli.Kwani sisi hatuoni huko kwenye mitandao ya kijamii wanavyopotezeana? Mange alitumia busara sana katika bandiko lake, hivyo sioni haja ya kumshambulia kisa kajitia kitanzi kuongelea hili.
 
Last edited by a moderator:

Na kweli alisema wazi. Muhimu wajue umaarufu ni jalala. Umenikumbusha "I will appreciate if u don't call me that name again..... U hearddddddd???" Nacheka kufaaa
 
Huyo Mange ni mropokaji sana hata akiambiwa athibitishe hawezi kufanya hivyo! Nakaaya kampa zawadi yake...!

Sasa kama hao akina Nakaaya wanataka moto wajaribu kuomba uthibitisho ndio tutajua mengi kuliko haya tuliyoyajua sasa.
Yeye aliongelea suala la hao ndugu kutokupatana, kwani kuna ubaya gani? Wale si celebrities?

Halafu asiyejua hilo ni nani? Labda kama sio mfuatiliaji wa mambo ya mujini ndio utakua hujui.
Maana wenyewe tu wanaonesha hawapatani.
 
Kusema ukweli mange anachemka sasa. Mambo mengine si ya kuingilia, si ya kupublish kwenye mitandao ya kijamii. Ht sisi tuliokuwa hatujui hilo bifu now tunajua
 
Na kweli alisema wazi. Muhimu wajue umaarufu ni jalala. Umenikumbusha "I will appreciate if u don't call me that name again..... U hearddddddd???" Nacheka kufaaa

Sifaaa hataki jina lake....Hahahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…