Ugomvi wa Thea na aliyekuwa mume wake umeenda shule

Ciprofloxacin.

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
1,583
Reaction score
2,702
Ni wa Mike Sangu na Thea, wasanii wa Bongo movie.

Watu waliokuwa wakijifunika shuka moja, yaani mume na mke in short, wamepigana chini huku Thea akitoa Kali ya mwaka, akidai ktk maisha yake hajawahi kuolewa, na wala hajui Kama kuna mtu anaitwa Mike ktk maisha yake.

Thea anazidi kudai kuwa, ndo kwanza anatafuta mwanaume wa kumuoa.
Nae Mike anadai hiyo ndoa haiwezi tena kurudi, Kwa hiyo naye anatafuta mke wa kuoa.

Duh! hiyo Kali.

 
NDOA ni Tunu kutoka kwa MUNGU ukiingia ndivyo sivyo kwa maslahi binafsi basi utahisi ni kifungo kwako 7bu utachepuka tuu mwishoe uishia hvyo kwa maneno ya KARAHA ambapo kila mmoja hujiona ni SHUJAA kumbe ni UJINGA uliopita VIWANGOO
 
Maisha magumu aisee
Watu wamechanganyikiwa 😀😀
 
Some mamas tho. If you're a grenade, and you find a brotha suicidal enough to put a ring on it. Glue that man down, for good.
 
Nyie nao kwani hamjui hao kama ni wasanii?
 
Vingekua vipande vya sabuni baadhi ya watu vikojoleo vingekua vimekwishaisha
 
WANAWAKE WAKIACHWA TU WANAANZA KUPONDA OOH MARA HAKUWA ANANIFIKISHA,MARA HAKUWA CHAGUO LANGU daaaah
 
walikua wapo location wanaigiza soon movie yao utaipata dukani keep waiting mkuu
 
Yaani mwandishiii Wa hii Thread ni bingwaa unajua umeandikaa in a way MTU ana vutiwaa Duuu endelezaa kipajii ila punguzaa ukali Wa manenoo
 
Bongo movies zenyewe boring kinoma kwahiyo napata ukakasi kuwajua waigizaji wake, in short hawa watu siwajui lakini tukirudi kwenye topic ndio mapenzi yalivyo, mimi binafsi nikimalizana na wadada nataka tuchukuliane poa bila kuwa maadaui lakini wapi. Kuna wengine wana kwere kinoma mpaka utajuta. Dawa ni kuwadelete na kuwapotezea kama hujawai kukutana nao duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…