joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Huyo Wakazi fala tu kwanza kipaji hanaNaona na yeye WAKAZI kapita mule mule kwa Babu Tale, (hajaongea kile anachokijua anachomtuhumu mwenzake) ni yale yale tu. Si angeongea huo ukweli anaoujua
Fuatilia podcast yake utaelewa
Hahahah [emoji23][emoji23]HUYO WAKAZI NAE AMESAHAU KAMA ANA KAZI KUBWA KUUKUZA MUZIKI WAKE YEYE KAMA YEYE??
Nikiwazaga nakuja kugunduaNikki Mbishi
Unju bahau kale, mwenyezi mungu siku ya kihama usimsahau babu tale.../
Itakuwa uyo Babu Tale alikuwa hamtaki Mopao KoffiKumekuchaaaaaah sasa mweeeeh
Tatizo hii media ya WCB wahusika wake ni wehu haswaah, acha watibuane tu.Itakuwa uyo baby tale alikuwa hamtaki mopao koffi
Babu Tale anatembelea mizizi ya Abdu Bonge.Huyo Babu mwenyewe anategemea nguvu ya Mondi, maana huku kote kuzungumziwa ni kwa sababu ya Mondi...angekuwa ni meneja wa Linah Sanga sidhani hata kama mngehangaika nae......sasa sijui tatizo ni Babu kama Babu au Mondi?.
Hawezi kuwa msanii wa hip hop huyu WakaziMwana hip hop hakai na neno kifuani bali analiongea,yeye cha msingi aongee anachokiona si sawa na si kufumba fumba.
Watangazaji waliuliza maswali kwa babutale na label anayo isimamia,yy kajibu kama vile alivyoulizwa,kutokana migogoro yao.
Sasa kama unaona industry ina matatizo mengi,kitu gani kinakuzuia kuongea,huyu ndio maana Nikki Mbishi alimchana ana umama mwingi sana,msanii wa hip hop hakai nakitu kifuani yy aongee.
Mbona Abdu Bonge alikufa mda mrefu sana, kwa sasa Babu Tale ni Mbunge, wewe endelea na Story zilizochakaa.Babu Tale anatembelea mizizi ya Abdu Bonge.
Yeye mwenyewe ukiachana na Ndumba na uswahili koko, hana jipya.
Yeye mbunge.Mbona Abdu Bonge alikufa mda mrefu sana, kwa sasa Babu Tale ni Mbunge, wewe endelea na Story zilizochakaa.
Kama la wife
Kuchana anaweza ila ana ufala mwingi+umama = NONSENSE.Huyo Wakazi fala tu kwanza kipaji hana
Ndio naweka kumbukumbu Sawa kuwa Babu Tale anabebwa na Abdu Bonge, huo ni uzushi mtupu, kafanikiwa kuwa Mbunge huyo Abdi Bonge alishazikwa mda mrefuYeye mbunge.
Wewe nani ?