vpi kwani? jf is my home we made it.
Umerudii yaan wewee
Bunamu sijakupa umbea wa uko insta leo??, wolper kamchambaje yule jipange??, naona hatarudia kumchezea tena,dah wolper kapinda sana,ila leo kanifuraisha kumtolea uvivu, wolper kamwambia alimtosa jipange baada ya kumsaga sana ndo maana povu linamtoka kila akikaa wolper kumbe mwenzetu anapooza machungu ya kuachwa, aaah aah
Bunamu sijakupa umbea wa uko insta leo??, wolper kamchambaje yule jipange??, naona hatarudia kumchezea tena,dah wolper kapinda sana,ila leo kanifuraisha kumtolea uvivu, wolper kamwambia alimtosa jipange baada ya kumsaga sana ndo maana povu linamtoka kila akikaa wolper kumbe mwenzetu anapooza machungu ya kuachwa, aaah aah
Kumbeeee makubwaaaa kwa hiyo kakubalii kua ye ni msagajiiii pia anakoboaaaa yalaaaas
Pole mkuu. Lakini kweli inabidi tuyajue majina ya hao wabunge wanadhalilisha ubunge.
tunaomba majina ya hao wabunge tuwatandike bakora na ikiwezekana tuwachape nao.
Nafikiri ni kutafuta kuuza magazeti tu hakuna kitu hicho
Na iwe hivyo.
Naona shigongo anaendelea kumpa promo mteja wake wa kudumu