Tafsiri ya ule usemi wa "vita vya panzi furaha ya kunguru" ni kuwa wakati Panzi wapo bize wanapeana makonde Kunguru akija anawabeba wote coz concetration yao ipo kwenye ugomvi na uwezo wa kumkwepa Kunguru unakuwa finyu.....Mheshimiwa kama Kunguru anaweza "kusema" na wote kwa nyakati tofauti.