Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mmmh nlisikia anaitwa maimuna ndo kifupi munaYes...jina kamili Rosemary Alphonce Nungu
Ndo nani sasa au ndo uyo munaYes...jina kamili Rosemary Alphonce Nungu
Hata mi nilisikia anaitwa Maimuna ila yule si wanasema kaikana familia yake?Mmmh nlisikia anaitwa maimuna ndo kifupi muna
Ndio Munalove100 mkuu!Ndo nani sasa au ndo uyo muna
Ha ha ha mjini kuna mamboHata mi nilisikia anaitwa Maimuna ila yule si wanasema kaikana familia yake?
Na akipataga danga jipya anabadili jina?
Acha kinondoni type ile nyokooo!Ha ha ha mjini kuna mambo
Hivi huwa ana shughuli gani muna make anazungukaga na wasanii tu
Ukisoma post vzr amemtaja rose halaf kuna sehem kamuita Muna.so itakua ndo yeyeRose ndio muna?
Sasa kama anauza nganda mbona yupo yupo tu kama msukule, haonekani kama ana hela....Acha kinondoni type ile nyokooo!
Nganda on fleek!
Nganda uchwara!...mapunda ya kinondoni huyajui?Sasa kama anauza nganda mbona yupo yupo tu kama msukule, haonekani kama ana hela....
eti npo kwenye industry miaka 10 shame on you wema miaka mitatu haujatoa movie unasema upo kwenye industry miaka 10.
kawa na hela saa hz ana gar kaandika jina lake na vigodoro yeye ndio alikuwa anamlipia wemaNganda uchwara!...mapunda ya kinondoni huyajui?
Anabeba mzigo wa bilioni tatu anapeleka China anakuja kulipwa 5 to 6 million!
Upo ziwa?
Yupo kapost pic yake now...watu wanampongeza kwa kukaa kimyaa!Muna kakimbia account yake insta.
Bhas karudi kuna wakati alikuwa hapatikaniYupo kapost pic yake now...watu wanampongeza kwa kukaa kimyaa!
Yeah lakini hilo gari hajalinunua kutokana na vigodoro vya juzi yy na wema, huwa ana mishe hizo nilizozitaja hapo juu toka zamani!kawa na hela saa hz ana gar kaandika jina lake na vigodoro yeye ndio alikuwa anamlipia wema
anajiona hawez kutafutwa ndio maana yy ndio anahonga duuh nilikuwa sijuiYeah lakini hilo gari hajalinunua kutokana na vigodoro vya juzi yy na wema, huwa ana mishe hizo nilizozitaja hapo juu toka zamani!
Akiwa na bwana humuhonga yy, alimuhonga kalala hadi gari na vimilioni ushee!
Na ndo maana mabwana wanamg'ang'ania kinomii!
Nimeenda insta bhana kwenye account ya muna love.yupo kweli.ila wabongo wanajua kumpa moyooo.Yeah lakini hilo gari hajalinunua kutokana na vigodoro vya juzi yy na wema, huwa ana mishe hizo nilizozitaja hapo juu toka zamani!
Akiwa na bwana humuhonga yy, alimuhonga kalala hadi gari na vimilioni ushee!
Na ndo maana mabwana wanamg'ang'ania kinomii!
Team Wema on workYeah lakini hilo gari hajalinunua kutokana na vigodoro vya juzi yy na wema, huwa ana mishe hizo nilizozitaja hapo juu toka zamani!
Akiwa na bwana humuhonga yy, alimuhonga kalala hadi gari na vimilioni ushee!
Na ndo maana mabwana wanamg'ang'ania kinomii!
Kwenye huu uzi tutapata wachangiaji wengi sanaYeah lakini hilo gari hajalinunua kutokana na vigodoro vya juzi yy na wema, huwa ana mishe hizo nilizozitaja hapo juu toka zamani!
Akiwa na bwana humuhonga yy, alimuhonga kalala hadi gari na vimilioni ushee!
Na ndo maana mabwana wanamg'ang'ania kinomii!
Hiki anachokifanya Wema ni utoto uliopitiliza.