ngudengude
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,175
- 466
joto kali nalo linachangia sometimeAsilimia ya watu wengi sana Dar wanaumwa mafua,kichwa dalili kama za homa viungo vya mwili kuuma kwa pamoja kiuno,mgongo macho,mwili kuishiwa nguvu kama yupo mwenye ufahamu wa ili jambo ebu huabalishe ni nini hiki?
Hiyo tb mkuu kapime kohozi
UTI ya nchi gani hiyo??nendeni kapime uti ttz hamtumii maji vzr
[emoji120] [emoji120]Ahsante mkuu. Nilishapona kitambo. Sikua nakohoa, dawa za malaria ndio ziliniponyesha. Nilikua natafuna vitunguu na tangawizi pia. Namshukuru Mungu sana nipo sawa
wachina sio watu wazuri hapo kuna dawa wanataka wajaribu wapige pesa msaada wa mchina Ni wa kuogopa kama ukoma.Misaada hii....usijekuta meli ilikuja kipanda mbegu na sasa zimeanza kuota soon waanze kuvuna mapesa
Na mm ndo nilikimaanisha sema niliogopa kupimwa mkojoMisaada hii....usijekuta meli ilikuja kipanda mbegu na sasa zimeanza kuota soon waanze kuvuna mapesa
Madaktari siku hizi hata mafua wanasema una uti.