Wakuu salamu za asubuhi
Naomba mnitoe tongotongo, huu ni ugonjwa gani kwa kuku na dawa yake ni nini?
Kuku anakuwa kama amepaniki, anaangalia juu na mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu.
Hata kula anashindwa ni kama amepata kichaa. Mimi siuelewi huu ugonjwa,wadau karibuni kwa maelezo.
Ni kuku wa kienyeji
Naomba mnitoe tongotongo, huu ni ugonjwa gani kwa kuku na dawa yake ni nini?
Kuku anakuwa kama amepaniki, anaangalia juu na mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu.
Hata kula anashindwa ni kama amepata kichaa. Mimi siuelewi huu ugonjwa,wadau karibuni kwa maelezo.
Ni kuku wa kienyeji