Ugonjwa gani huu?

Ugonjwa gani huu?

Wakuu salamu za asubuhi

Naomba mnitoe tongotongo, huu no ugonjwa gani kwa kukuna dawa yake ni nini?

Kuku anakuwa Kama amepaniki, anaangalia juu ya Mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu.

Hata kula anashindwa ni km amepata kichaa. Mimi siuelewi huu ugonjwa,wadau karibuni kwa maelezo.

Ni kuku wa kienyeji
Safi sana, hata mie kuna kuku anafanya hayo! Watoto wanamwita 'kichaa'! Ulipata dawa?
 
Wakuu salamu za asubuhi

Naomba mnitoe tongotongo, huu no ugonjwa gani kwa kukuna dawa yake ni nini?

Kuku anakuwa Kama amepaniki, anaangalia juu ya Mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu.

Hata kula anashindwa ni km amepata kichaa. Mimi siuelewi huu ugonjwa,wadau karibuni kwa maelezo.

Ni kuku wa kienyeji
Safi sana, hata mie kuna kuku anafanya hayo! Watoto wanamwita 'kichaa'! Ulipata dawa?
 
Wakuu salamu za asubuhi

Naomba mnitoe tongotongo, huu ni ugonjwa gani kwa kuku na dawa yake ni nini?

Kuku anakuwa kama amepaniki, anaangalia juu na mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu.

Hata kula anashindwa ni kama amepata kichaa. Mimi siuelewi huu ugonjwa,wadau karibuni kwa maelezo.

Ni kuku wa kienyeji
Huyo kuku anaupungufu wa vitamini E hilo tatizo kuku hawaambukizani ila mtenge nunua dawa ambazo ni mult vitamin umpe atapona.
Kuku akipata upungufu wa vitamin E huwa anapata hitilafu kwenye ubongo ndio hupelekea hio hali unayoiona.
 
Huyo kuku anaupungufu wa vitamini E hilo tatizo kuku hawaambukizani ila mtenge nunua dawa ambazo ni mult vitamin umpe atapona.
Kuku akipata upungufu wa vitamin E huwa anapata hitilafu kwenye ubongo ndio hupelekea hio hali unayoiona.
Asante sana mkuuu
 
Back
Top Bottom