Ugonjwa Huu ni kitu gani??????

Ugonjwa Huu ni kitu gani??????

AWP unataka kichwa kizuri ule

labda tumuombe apige picha nanii yake hatuwekee hapa kama hajafa mtu,mnipige ban mods
btw pole sana mkuu,next time kumbuka mwanaume shujaa hutumia DUME!
 
labda tumuombe apige picha nanii yake hatuwekee hapa kama hajafa mtu,mnipige ban mods
btw pole sana mkuu,next time kumbuka mwanaume shujaa hutumia DUME!
Amekwambia imeanzaje? Usimhukumu Courstesy muulize imeanzaje?
 
pole brother, magonjwa hayo ni STDS cha muhimu ni kwenda hospitali utapata dawa, ila usisahau kwenda na mpenzi wako ili mkatibiwe wote, ni magonjwa ya kuambukiza hayo....
 
jitahidi kwenda hospital maana unawea kuta hospital uliyoenda haikuwa na vipimo vya kutosha kungudua tatizo usichoke mkuu na ukumbuke kuomba maana kunauwezekano umepita kwa mtu asikye haki yako haya yapo haswa kwetu usukumani wanawapatianga adabu sana watu waaina hiyo lakini i hope sio
 
pole kunywa Ciproflaxiciline 500mg mara moja 2/52(kidonge kimoja) na Doxycilline 100mg bd (kidonge kimoja kila baada ya masaa 12 kwa siku 14) na metronidazole 2gm od 3/7 (vidonge 10 vya metronidazo kwa siku mara moja kwa siku 3) na wakati huo huo ukipaka Miconazole cream asubuhi na jioni kwa siku 21.
pole sana ila utapona tu ukizingatia tiba hii na ukaitumia kama nilivyokuelekeza bila kukosea na hikikisha unakunywa maji mengi.
na kama una maswali usichoke kuuliza kwenye private massage.
 
Mpaka karne hii kuna mtu anauza mechi????Kweli ujasiriamali ni kipaji......POLE LAKINI...
 
Sorry kukuambia but Its look like STD
Usiwe na woga maana watu wakisikia STD mawazo yao wanakuwa kwenye lile liugonjwa likubwa

Nenda hospitali upimwe "kila kitu"
Then iwapo ukitibiwa ukapona usisahau kuvaa mipira
Get well soon
 
Nawauliza wadau hapa wanasema hiyo ni gono au kaswende nenda kapime usiogope onyesha hiyo kichwa yakooo ,alafu mbona fupi sanaaa!!!!!!!!
 
pole kunywa Ciproflaxiciline 500mg mara moja 2/52(kidonge kimoja) na Doxycilline 100mg bd (kidonge kimoja kila baada ya masaa 12 kwa siku 14) na metronidazole 2gm od 3/7 (vidonge 10 vya metronidazo kwa siku mara moja kwa siku 3) na wakati huo huo ukipaka Miconazole cream asubuhi na jioni kwa siku 21.
pole sana ila utapona tu ukizingatia tiba hii na ukaitumia kama nilivyokuelekeza bila kukosea na hikikisha unakunywa maji mengina kama una maswali usichoke kuuliza kwenye private massage.

Heshima mbele mkuu huwa haishauliwi kumwandikia dawa mgonjwa bila kumuona hasa hasa kumfanyia vipimo na kujua tatizo lake ni nini hasa, najua umetoa dozi kwa kumsaidia mgonjwa lakini pia unaweza ukawa ndio unamuangamiza kwa dozi kuuubwa kumbe tatizo ni tofauti.. halafu hujamtahadhalisha kuwa asinywe pombe wakati naona hapo kuna kitu metrodinazole. pls mshauri tu aende hosptali ajue tatizo. ahsante
 
am varies with the above comment that sharing is caring, now a days sharing is killing
 
pole kunywa Ciproflaxiciline 500mg mara moja 2/52(kidonge kimoja) na Doxycilline 100mg bd (kidonge kimoja kila baada ya masaa 12 kwa siku 14) na metronidazole 2gm od 3/7 (vidonge 10 vya metronidazo kwa siku mara moja kwa siku 3) na wakati huo huo ukipaka Miconazole cream asubuhi na jioni kwa siku 21.
pole sana ila utapona tu ukizingatia tiba hii na ukaitumia kama nilivyokuelekeza bila kukosea na hikikisha unakunywa maji mengi.
na kama una maswali usichoke kuuliza kwenye private massage.

Mkuu ikizu, heshima! what is the diagnosis if i may ask out of curiosity?!!
 
Heshima mbele mkuu huwa haishauliwi kumwandikia dawa mgonjwa bila kumuona hasa hasa kumfanyia vipimo na kujua tatizo lake ni nini hasa, najua umetoa dozi kwa kumsaidia mgonjwa lakini pia unaweza ukawa ndio unamuangamiza kwa dozi kuuubwa kumbe tatizo ni tofauti.. halafu hujamtahadhalisha kuwa asinywe pombe wakati naona hapo kuna kitu metrodinazole. pls mshauri tu aende hosptali ajue tatizo. ahsante

Mkuu Gahama heshima, i agree with all that you said, if we'd keep on offr treatment haina maana ya hospitali na tunatafuta matatizo zaidi.
 
Mkuu Gahama heshima, i agree with all that you said, if we'd keep on offr treatment haina maana ya hospitali na tunatafuta matatizo zaidi.

kweli mkuu mi sio Dr lakini huwa naogopa sana kujinywea dawa bila kufika kwanza hosptalna kuandikiwa na Dr
 
mpe pole abdallah kichwa wazi wako mkuu.Hii tabia ya abdallah kichwa wazi kuonekana mpole ni ya kawaida sana anapokuwa yamemsibu mambo magumu!kana kwamba anasujudu hivi
 
Back
Top Bottom