AWP unataka kichwa kizuri ule
Amekwambia imeanzaje? Usimhukumu Courstesy muulize imeanzaje?labda tumuombe apige picha nanii yake hatuwekee hapa kama hajafa mtu,mnipige ban mods
btw pole sana mkuu,next time kumbuka mwanaume shujaa hutumia DUME!
Amekwambia imeanzaje? Usimhukumu Courstesy muulize imeanzaje?
pole kunywa Ciproflaxiciline 500mg mara moja 2/52(kidonge kimoja) na Doxycilline 100mg bd (kidonge kimoja kila baada ya masaa 12 kwa siku 14) na metronidazole 2gm od 3/7 (vidonge 10 vya metronidazo kwa siku mara moja kwa siku 3) na wakati huo huo ukipaka Miconazole cream asubuhi na jioni kwa siku 21.
pole sana ila utapona tu ukizingatia tiba hii na ukaitumia kama nilivyokuelekeza bila kukosea na hikikisha unakunywa maji mengina kama una maswali usichoke kuuliza kwenye private massage.
pole kunywa Ciproflaxiciline 500mg mara moja 2/52(kidonge kimoja) na Doxycilline 100mg bd (kidonge kimoja kila baada ya masaa 12 kwa siku 14) na metronidazole 2gm od 3/7 (vidonge 10 vya metronidazo kwa siku mara moja kwa siku 3) na wakati huo huo ukipaka Miconazole cream asubuhi na jioni kwa siku 21.
pole sana ila utapona tu ukizingatia tiba hii na ukaitumia kama nilivyokuelekeza bila kukosea na hikikisha unakunywa maji mengi.
na kama una maswali usichoke kuuliza kwenye private massage.
Heshima mbele mkuu huwa haishauliwi kumwandikia dawa mgonjwa bila kumuona hasa hasa kumfanyia vipimo na kujua tatizo lake ni nini hasa, najua umetoa dozi kwa kumsaidia mgonjwa lakini pia unaweza ukawa ndio unamuangamiza kwa dozi kuuubwa kumbe tatizo ni tofauti.. halafu hujamtahadhalisha kuwa asinywe pombe wakati naona hapo kuna kitu metrodinazole. pls mshauri tu aende hosptali ajue tatizo. ahsante
Mkuu Gahama heshima, i agree with all that you said, if we'd keep on offr treatment haina maana ya hospitali na tunatafuta matatizo zaidi.