KISHOKA_ZUMBU
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 163
- 78
J'mosi nilifika kijijini na kukuta ni siku ya mnada wa ng'ombe na mbuzi.
Kawaida siku hii watu huenda mnadani kula nyama choma.
Nami nikajiunga kundini, nlijipatia kamguu ka-mbuzi.
TATIZO
Toka nile juzi, tumbo limejaa, nahisi kushiba mfululizo, natapika sana ikiambatana na damu.
Nimepima malaria, typhoid hola!
Je, yaweza kuwa nini?
Tiba yake ni nni?
Naombeni msaada tafadhari..
Kawaida siku hii watu huenda mnadani kula nyama choma.
Nami nikajiunga kundini, nlijipatia kamguu ka-mbuzi.
TATIZO
Toka nile juzi, tumbo limejaa, nahisi kushiba mfululizo, natapika sana ikiambatana na damu.
Nimepima malaria, typhoid hola!
Je, yaweza kuwa nini?
Tiba yake ni nni?
Naombeni msaada tafadhari..