Ugonjwa huu unatiba?

Ugonjwa huu unatiba?

shangwe shangwe

Senior Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
108
Reaction score
24
Mtoto wangu ana miezi mitano sasa. Wiki tatu baada ya kuzaliwa kwake alipatwa na tatizo la kushtuka na kutetemeka mguu na mkono upande wa kulia. Alianzishiwa sindano ktk hospitali ya mkoa na kupata nafuu sana. Sasa tatizo hilo limemrejea tena ktk umri huo wa miezi 5. Akiwa usingizini ndipo linamtokea. Ushauri wenu wadau!
 
Inaweza kuwa ni degedege, kwani daktari hakukuambia mtoto anasumbuliwa na ugonjwa gani kabla ya kumruhusu amchome sindano? au ulimfikisha tu kwa daktari akampima na kumchoma sindano bila hata kukuambia amemkuta na ugonjwa gani na anapendekeza tiba gani ifanyike?
 
Back
Top Bottom