Ugonjwa kwenye miti ya matunda (naomba msaada).

Mkuu kabanga heshima kwako, mkuu kama hutojali nami maomba unijuze mamna ya kutengeza hizo dawa kwa kutumia pilipili, nyanya na kitunguu swaum.
Waungwana, nitaandika kile kitakachosaidia, kwa sasa nipo muda mwingi field....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…