kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,421 Reaction score 18,760 Jan 11, 2017 #21 KIKAZI said: mkuu unaweza kutupa msaada jinsi ya kutengeneza hizo dawa yani pilipili,kitunguu swaumu na nyanya asante. Click to expand... nitakupatia.....
KIKAZI said: mkuu unaweza kutupa msaada jinsi ya kutengeneza hizo dawa yani pilipili,kitunguu swaumu na nyanya asante. Click to expand... nitakupatia.....
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,697 Reaction score 15,497 Jan 14, 2017 #22 the horticulturist said: Aliekuuzia itakua alichanganya hawa wadudu na ugonjwa wa ubwiri unga (powdery mildew) Click to expand... Dawa ipi sasa inafaa kuondoa hao fungus
the horticulturist said: Aliekuuzia itakua alichanganya hawa wadudu na ugonjwa wa ubwiri unga (powdery mildew) Click to expand... Dawa ipi sasa inafaa kuondoa hao fungus
AbouZakariya JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 1,646 Reaction score 2,378 Jan 17, 2017 #23 kabanga said: nitakupatia..... Click to expand... Mkuu kabanga heshima kwako, mkuu kama hutojali nami maomba unijuze mamna ya kutengeza hizo dawa kwa kutumia pilipili, nyanya na kitunguu swaum.
kabanga said: nitakupatia..... Click to expand... Mkuu kabanga heshima kwako, mkuu kama hutojali nami maomba unijuze mamna ya kutengeza hizo dawa kwa kutumia pilipili, nyanya na kitunguu swaum.
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,421 Reaction score 18,760 Jan 19, 2017 #24 AbouZakariya said: Mkuu kabanga heshima kwako, mkuu kama hutojali nami maomba unijuze mamna ya kutengeza hizo dawa kwa kutumia pilipili, nyanya na kitunguu swaum. Click to expand... Waungwana, nitaandika kile kitakachosaidia, kwa sasa nipo muda mwingi field....
AbouZakariya said: Mkuu kabanga heshima kwako, mkuu kama hutojali nami maomba unijuze mamna ya kutengeza hizo dawa kwa kutumia pilipili, nyanya na kitunguu swaum. Click to expand... Waungwana, nitaandika kile kitakachosaidia, kwa sasa nipo muda mwingi field....
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Nov 23, 2019 #25 kabanga said: Waungwana, nitaandika kile kitakachosaidia, kwa sasa nipo muda mwingi field.... Click to expand... Naomba ni-tag kwenye hilo bandiko nikasome plse.
kabanga said: Waungwana, nitaandika kile kitakachosaidia, kwa sasa nipo muda mwingi field.... Click to expand... Naomba ni-tag kwenye hilo bandiko nikasome plse.