Ugonjwa mwingine usiofahamika waibuka DRC Congo na kuua watu 79

Ugonjwa mwingine usiofahamika waibuka DRC Congo na kuua watu 79

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Watu wasiopungua 79 wamefariki hivi karibuni kutokana na ugonjwa usiojulikana ambao una dalili zinazofanana na mafua katika eneo la kusini-magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Kwa mujibu wa wizara ya afya, idadi kubwa ya waliofariki ni vijana wenye umri kati ya miaka 15 na 18.

Kufikia sasa zaidi ya watu 300 wameathiriwa, na wagonjwa wanaonyesha dalili kama vile homa, maumivu ya kichwa, mafua, kikohozi, shida za kupumua, na upungufu wa damu.


Timu za kukabiliana na hali hiyo zimetumwa katika Mkoa wa Kwango, hususan eneo la afya la Panzi, ambako ugonjwa huo umeenea zaidi, ili kushughulikia wagonjwa na kuchunguza asili ya ugonjwa huo.

"Mlipo huu tayari umesababisha vifo vya watu 79, hali ambayo imeipa mashaka mamlaka za mkoa wa Kwango. Gavana ameshatuma timu ya wataalamu ili kubaini tatizo, kukusanya sampuli, na kuzituma katika INRB (National Institute for Biomedical Research) kwa ajili ya uchunguzi zaidi"

Msemaji wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) aliambia Reuters kuwa shirika hilo lilifahamishwa kuhusu magonjwa hayo wiki iliyopita na kwamba linashirikiana na mamlaka za eneo hilo kufanya uchunguzi. Mfanyakazi wa WHO ambaye hakutaka kutajwa jina lake aliambia AP kuwa shirika hilo limeshapeleka timu yake kwenye maeneo yaliyoathirika ili kukusanya sampuli kwa ajili ya uchambuzi.

drc.png

================================================================

At least 79 people have died from an unknown disease that is causing flu-like symptoms in south-western Democratic Republic of Congo, the health ministry says.

The health ministry says the majority of people who have died are between the ages of 15 and 18.
More than 300 people have been infected with patients exhibiting symptoms like fever, headaches, runny noses and coughs, breathing difficulties and anaemia.

Response teams have been sent to Kwango Province, specifically the Panzi health zone, where the disease is most common, to manage cases and investigate the nature of the disease.

Cephorien Manzanza, a civil society leader, told Reuters news agency the situation was worrying as the number of infected people continues to rise.

"Panzi is a rural health zone, so there is a problem with the supply of medicines," he said.
A World Health Organisation (WHO) Africa region official told the BBC they have "dispatched a team to the remote area to collect samples for lab investigations".

Authorities have urged the population to remain calm and vigilant.

They urged people to wash their hands with soap, avoid mass gatherings, and avoid touching the bodies of the deceased without qualified health personnel.

A local MP told Top Congo Radio that about 67 people had fallen sick and died between 10 and 26 November.
"It should be noted that Panzi hospital is short of medicines to cope with this epidemic. We really need assistance," said the MP.
The central African country has also been dealing with a severe outbreak of mpox. Between January and July this year, they recorded about 14,500 infections.

DR Congo has also dealt with bouts of Ebola over the years.

Source: BBC
 
KARIBU TANZANIA

Utatusaidia kuweka akili vyema
 
Wakuu,

Watu wasiopungua 79 wamefariki hivi karibuni kutokana na ugonjwa usiojulikana ambao una dalili zinazofanana na mafua katika eneo la kusini-magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Kwa mujibu wa wizara ya afya, idadi kubwa ya waliofariki ni vijana wenye umri kati ya miaka 15 na 18.

Kufikia sasa zaidi ya watu 300 wameathiriwa, na wagonjwa wanaonyesha dalili kama vile homa, maumivu ya kichwa, mafua, kikohozi, shida za kupumua, na upungufu wa damu.


Timu za kukabiliana na hali hiyo zimetumwa katika Mkoa wa Kwango, hususan eneo la afya la Panzi, ambako ugonjwa huo umeenea zaidi, ili kushughulikia wagonjwa na kuchunguza asili ya ugonjwa huo.

"Mlipo huu tayari umesababisha vifo vya watu 79, hali ambayo imeipa mashaka mamlaka za mkoa wa Kwango. Gavana ameshatuma timu ya wataalamu ili kubaini tatizo, kukusanya sampuli, na kuzituma katika INRB (National Institute for Biomedical Research) kwa ajili ya uchunguzi zaidi"

Msemaji wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) aliambia Reuters kuwa shirika hilo lilifahamishwa kuhusu magonjwa hayo wiki iliyopita na kwamba linashirikiana na mamlaka za eneo hilo kufanya uchunguzi. Mfanyakazi wa WHO ambaye hakutaka kutajwa jina lake aliambia AP kuwa shirika hilo limeshapeleka timu yake kwenye maeneo yaliyoathirika ili kukusanya sampuli kwa ajili ya uchambuzi.


================================================================

At least 79 people have died from an unknown disease that is causing flu-like symptoms in south-western Democratic Republic of Congo, the health ministry says.

The health ministry says the majority of people who have died are between the ages of 15 and 18.
More than 300 people have been infected with patients exhibiting symptoms like fever, headaches, runny noses and coughs, breathing difficulties and anaemia.

Response teams have been sent to Kwango Province, specifically the Panzi health zone, where the disease is most common, to manage cases and investigate the nature of the disease.

Cephorien Manzanza, a civil society leader, told Reuters news agency the situation was worrying as the number of infected people continues to rise.

"Panzi is a rural health zone, so there is a problem with the supply of medicines," he said.
A World Health Organisation (WHO) Africa region official told the BBC they have "dispatched a team to the remote area to collect samples for lab investigations".

Authorities have urged the population to remain calm and vigilant.

They urged people to wash their hands with soap, avoid mass gatherings, and avoid touching the bodies of the deceased without qualified health personnel.

A local MP told Top Congo Radio that about 67 people had fallen sick and died between 10 and 26 November.
"It should be noted that Panzi hospital is short of medicines to cope with this epidemic. We really need assistance," said the MP.
The central African country has also been dealing with a severe outbreak of mpox. Between January and July this year, they recorded about 14,500 infections.

DR Congo has also dealt with bouts of Ebola over the years.

Source: BBC
Wakongo mpaka watakapo acha tofauti zao na kuwafurusha mabeberu ndio watakuwa salama mabeberu wanataka sana raslimari zao hivyo wako tayari kuwafuta wote duniani ili wamiliki rasilimari hizo. Wamarekani wa kutoka ulaya waliwafuta wahindi wekundu hapo marekani kwa ajili ya resources.
 
Hivi haya magonjwa ya ajabu ajabu kila mwaka huko Congo ni ya asili kweli!!?

Sijajua mazingira yao yakoje lakini inatia mashaka isije kua ni Bio-terrorism!
 
Hivi haya magonjwa ya ajabu ajabu kila mwaka huko Congo ni ya asili kweli!!?

Sijajua mazingira yao yakoje lakini inatia mashaka isije kua ni Bio-terrorism!
Ni ugaidi tu wa wazungu. Rasilimali zikiisha tu utaona hata magonjwa yataisha
 
Mzungu ana mbinu nyingi sana, siyo lazima akuue kwa Gobole.... 🙂 🙂 🙂
 
Na wanajenga reli ya zamb-mpk-Angola ili wachote mali vizuri sana, hawa wazungu marafiki wa Lissu siyo watu wema kabisa, isijekuwa hii ni covid 625 Grand copabo with ebolla. 😀😀
 
Hivi hawa wazungu kama wameamua kufanya Congo sehemu ya majaribio ya biological weapon kwanini waafrika hatushtukii kabisa haya mambo yanayoendelea miaka na miaka?
Mara ukimwi mara Ebola na sasa hili tena
Lazima kuna kitu tutake tusitake
Hakuna kusema ooh ugonjwa mpya umeibuka
Na sababu za kipumbavu tunakubali eti ni nyani
Na miafrika inakubali huu ujinga
Amkeni
 
Back
Top Bottom