nyahinga
Member
- Dec 18, 2016
- 45
- 23
Naomba msaada wako Dr. Nina tatizo la miaka mitano sasa, nasumbuliwa na tatizo la kuumwa na kinywa yaani Kuna mda juu ya kinywa kunatoka alama nyekundu za mviringo zinauma sana, pia chini ya ulimi Kuna maumivu makali sana, Kuna kipindi kichwa kinauma sana. Naomba msaada wako