Ugonjwa usiojulikana waibuka Kongo na kuua watu zaidi ya 50

Ugonjwa usiojulikana waibuka Kongo na kuua watu zaidi ya 50

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Zaidi ya Watu 50 wamefariki Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ugonjwa usiojulikana, hii ikiwa ni kwa mujibu wa Madaktari waliopo katika eneo hilo na Shirika la Afya Duniani (WHO).

1740488348623.png
Takriban visa 419 vimeripotiwa, vikiwemo vifo 53 tangu mlipuko wa ugonjwa huo ulipoanza katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mnamo Januari 21. Mkurugenzi wa Hospitali ya Bikoro, Kituo cha ufuatiliaji wa afya, Serge Ngalebato, ameliambia Shirika la Habari la AP kwamba hali hiyo inatia wasiwasi, kwani muda kati ya kuanza kwa dalili na kifo kwa wagonjwa wengi ni saa 48.

1740488336871.png
Kwa mujibu wa ofisi ya WHO barani Afrika, mlipuko wa kwanza katika mji wa Boloko ulitokea baada ya Watoto watatu kula popo na kufariki ndani ya saa 48 baada ya kuonesha dalili za homa na kutokwa na damu.

Mwaka jana, ugonjwa mwingine usiojulikana ulisababisha vifo vya zaidi ya Watu 100 Kusini Magharibi mwa Kongo japo baadaye iligundulika kuwa ni aina kali ya Malaria.

CHANZO: AP News
==

An unknown illness has killed over 50 people in northwestern Congo, according to doctors on the ground and the World Health Organization on Monday.

The interval between the onset of symptoms and death has been 48 hours in the majority of cases, and “that’s what’s really worrying,” Serge Ngalebato, medical director of Bikoro Hospital, a regional monitoring center, told The Associated Press.

The latest disease outbreak in the Democratic Republic of Congo began on Jan. 21, and 419 cases have been recorded including 53 deaths.

According to the WHO’s Africa office, the first outbreak in the town of Boloko began after three children ate a bat and died within 48 hours following hemorrhagic fever symptoms.

There have long been concerns about diseases jumping from animals to humans in places where wild animals are popularly eaten. The number of such outbreaks in Africa has surged by more than 60% in the last decade, the WHO said in 2022.

After the second outbreak of the current mystery disease began in the town of Bomate on Feb. 9, samples from 13 cases have been sent to the National Institute for Biomedical Research in Congo’s capital, Kinshasa, for testing, the WHO said.

All samples have been negative for Ebola or other common hemorrhagic fever diseases like Marburg. Some tested positive for malaria.

Last year, another mystery flu-like illness that killed dozens of people in another part of Congo was determined to be likely malaria.
 
Kwa mujibu wa ofisi ya WHO barani Afrika, mlipuko wa kwanza katika mji wa Boloko ulitokea baada ya Watoto watatu kula popo na kufariki ndani ya saa 48 baada ya kuonesha dalili za homa na kutokwa na damu.
Wakongo wanajikuta kama Wachina hivi.
 
Zaidi ya Watu 50 wamefariki Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ugonjwa usiojulikana, hii ikiwa ni kwa mujibu wa Madaktari waliopo katika eneo hilo na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Takriban visa 419 vimeripotiwa, vikiwemo vifo 53 tangu mlipuko wa ugonjwa huo ulipoanza katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mnamo Januari 21. Mkurugenzi wa Hospitali ya Bikoro, Kituo cha ufuatiliaji wa afya, Serge Ngalebato, ameliambia Shirika la Habari la AP kwamba hali hiyo inatia wasiwasi, kwani muda kati ya kuanza kwa dalili na kifo kwa wagonjwa wengi ni saa 48.

Kwa mujibu wa ofisi ya WHO barani Afrika, mlipuko wa kwanza katika mji wa Boloko ulitokea baada ya Watoto watatu kula popo na kufariki ndani ya saa 48 baada ya kuonesha dalili za homa na kutokwa na damu.

Mwaka jana, ugonjwa mwingine usiojulikana ulisababisha vifo vya zaidi ya Watu 100 Kusini Magharibi mwa Kongo japo baadaye iligundulika kuwa ni aina kali ya Malaria.

CHANZO: AP News
==

An unknown illness has killed over 50 people in northwestern Congo, according to doctors on the ground and the World Health Organization on Monday.

The interval between the onset of symptoms and death has been 48 hours in the majority of cases, and “that’s what’s really worrying,” Serge Ngalebato, medical director of Bikoro Hospital, a regional monitoring center, told The Associated Press.

The latest disease outbreak in the Democratic Republic of Congo began on Jan. 21, and 419 cases have been recorded including 53 deaths.

According to the WHO’s Africa office, the first outbreak in the town of Boloko began after three children ate a bat and died within 48 hours following hemorrhagic fever symptoms.

There have long been concerns about diseases jumping from animals to humans in places where wild animals are popularly eaten. The number of such outbreaks in Africa has surged by more than 60% in the last decade, the WHO said in 2022.

After the second outbreak of the current mystery disease began in the town of Bomate on Feb. 9, samples from 13 cases have been sent to the National Institute for Biomedical Research in Congo’s capital, Kinshasa, for testing, the WHO said.

All samples have been negative for Ebola or other common hemorrhagic fever diseases like Marburg. Some tested positive for malaria.

Last year, another mystery flu-like illness that killed dozens of people in another part of Congo was determined to be likely malaria.
Kwanini hawa watu bado wanakula popo hata baada ya dunia ya leo ya sayansi kuelezea kwa kirefu jinsi popo wanavyokuwa na virusi vingi vya hatari sana?

Hawana habari hizi, ni umasikini tu, ni uroho wa nyama au nini?
 
Waliokula popo khaa😢 nyie nchi za wenzetu njaa ni kali mno! Kuna picha imesambaa jamaa sijui anakula kitoto cha ngedere toba.. aisee mpaka unahisi kutapika. MUNGU awasaidie hawa watu
Hao mboni kawaida Congo wanakula mpaka Mbilikimo wewe unasema Sokwe na Ngedere mboni hao cha mtoto
 
Congo na Burundi ni nchi zinazo ongoza kwa njaa na umaskini kwa hiyo magonjwa mengi ya milipuko yanatokana na kula visivyoliwa. Na kama inavyosemekana kuwa wanakula banyamulenge kwa kuwachoma mishkaki basi tutegemee kuona mengi.
 
Kwanini hawa watu bado wanakula popo hata baada ya dunia ya leo ya sayansi kuelezea kwa kirefu jinsi popo wanavyokuwa na virusi vingi vya hatari sana?

Hawana habari hizi, ni umasikini tu, ni uroho wa nyama au nini?
Hata kama nyama popo ana nyama gani Sasa? Hawa ni ujinga tu mkuu maana kama ni umasikini hata huku Tanzania masikini tupo wengi ila hatuli popo.
 
Zaidi ya Watu 50 wamefariki Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ugonjwa usiojulikana, hii ikiwa ni kwa mujibu wa Madaktari waliopo katika eneo hilo na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Takriban visa 419 vimeripotiwa, vikiwemo vifo 53 tangu mlipuko wa ugonjwa huo ulipoanza katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mnamo Januari 21. Mkurugenzi wa Hospitali ya Bikoro, Kituo cha ufuatiliaji wa afya, Serge Ngalebato, ameliambia Shirika la Habari la AP kwamba hali hiyo inatia wasiwasi, kwani muda kati ya kuanza kwa dalili na kifo kwa wagonjwa wengi ni saa 48.

Kwa mujibu wa ofisi ya WHO barani Afrika, mlipuko wa kwanza katika mji wa Boloko ulitokea baada ya Watoto watatu kula popo na kufariki ndani ya saa 48 baada ya kuonesha dalili za homa na kutokwa na damu.

Mwaka jana, ugonjwa mwingine usiojulikana ulisababisha vifo vya zaidi ya Watu 100 Kusini Magharibi mwa Kongo japo baadaye iligundulika kuwa ni aina kali ya Malaria.

CHANZO: AP News
==

An unknown illness has killed over 50 people in northwestern Congo, according to doctors on the ground and the World Health Organization on Monday.

The interval between the onset of symptoms and death has been 48 hours in the majority of cases, and “that’s what’s really worrying,” Serge Ngalebato, medical director of Bikoro Hospital, a regional monitoring center, told The Associated Press.

The latest disease outbreak in the Democratic Republic of Congo began on Jan. 21, and 419 cases have been recorded including 53 deaths.

According to the WHO’s Africa office, the first outbreak in the town of Boloko began after three children ate a bat and died within 48 hours following hemorrhagic fever symptoms.

There have long been concerns about diseases jumping from animals to humans in places where wild animals are popularly eaten. The number of such outbreaks in Africa has surged by more than 60% in the last decade, the WHO said in 2022.

After the second outbreak of the current mystery disease began in the town of Bomate on Feb. 9, samples from 13 cases have been sent to the National Institute for Biomedical Research in Congo’s capital, Kinshasa, for testing, the WHO said.

All samples have been negative for Ebola or other common hemorrhagic fever diseases like Marburg. Some tested positive for malaria.

Last year, another mystery flu-like illness that killed dozens of people in another part of Congo was determined to be likely malaria.
madaktari wa ukanda huo wanalipwa kujenga hofu kwa watu wapakimbie au wasiende ili waibe madini vzr , tangu nakuwa nasikia ugonjwa mpya DRC , mpk ss sikuwai juwa yameishia wap hayo magonjwa
 
Back
Top Bottom