Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hawana wanyama wengine wa kula?Kwa mujibu wa ofisi ya WHO barani Afrika, mlipuko wa kwanza katika mji wa Boloko ulitokea baada ya Watoto watatu kula popo na kufariki ndani ya saa 48 baada ya kuonesha dalili za homa na kutokwa na damu.