Ugonjwa wa ajabu unawatesa watoto wenye umri chini ya miaka 10

Ugonjwa wa ajabu unawatesa watoto wenye umri chini ya miaka 10

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Niende kwenye hoja.

Sijui ni ugonjwa gani huu, mapele na yakipasuka yanageuka madonda. Watoto wanawashwa na akijikuna anazidisha maambukizi na madonda huwa makubwa na kwa dalili ilivo inaonekana wanaumia sana.

Madktari nilionana nao wapo kana kwamba wanabuni tatizo.

Kama kuna aliyeona shida kama hii anipe njia ya kupambana.


Mrejesho.
Mtoto mmoja amepona wakati mwingine bado, japo sii sana.

Nilimpa dawa za minyoo, vetrizen
 
Mpe Antibiotique tu atakuwa Sawa, Mwanangu pia ameXeperience hilo tatizo..Ila kabla hujampa Antibiotique mpe dawa za minyoo kwanza kama amepitisha miezi mitatu bila kunywa.
 
Mpe Antibiotique tu atakuwa Sawa,Mwanangu pia ameXeperience hilo tatizo..Ila kabla hujampa Antibiotique mpe dawa za minyoo kwanza kama amepitisha miezi mitatu bila kunywa.
Watoto ukiwapa Sana dawa ni hatari
 
Hii ilitokea kwa mtoto wa rafiki yangu nikampigia doctor mmoja nje akanambia ampeleke akapime choo then aandikiwe dawa za minyoo baada ya kutazama choo

Then antibiotics zikafuatia. Mtoto kapona kabisa, antibiotics hazitifanya kazi kama mtoto ana minyoo mingi

By baba mwenye watoto wawili
 
Hii nimeisikia jana kwa mtoto mwenye umri wa darasa la nne akinipa story mimi, dogo anahadithia akisema hivi"
👇
mtoto wa mama, anatoka vipele mpaka matakoni analia sana,akijikuna vinaota vipele vingine.

Baada ya kuona uzi huu ndio nikakumbuka pia hili gonjwa lipo.
 
Mpe cetrizen sijui kama nimeandika sahihi.

Mwanangu aliponea hizo.
 
Hii ilitokea kwa mtoto wa rafiki yangu nikampigia doctor mmoja nje akanambia ampeleke akapime choo then aandikiwe dawa za minyoo baada ya kutazama choo

Then antibiotics zikafuatia. Mtoto kapona kabisa, antibiotics hazitifanya kazi kama mtoto ana minyoo mingi

By baba mwenye watoto wawili
Hongera Baba watoto na Asante sana
 
Hii nimeisikia jana kwa mtoto mwenye umri wa darasa la nne akinipa story mimi, dogo anahadithia akisema hivi"
👇
mtoto wa mama, anatoka vipele mpaka matakoni analia sana,akijikuna vinaota vipele vingine.

Baada ya kuona uzi huu ndio nikakumbuka pia hili gonjwa lipo.
Lonawatesa watoto
 
Inawezekana kabisa ni scabies ni vyema mtoto apelekwe kituo cha afya atapewe dawa ya kupaka na kumeza
 
Back
Top Bottom