#COVID19 Ugonjwa wa COVID-19 unaonekana nchi za Afrika kuwa wakutisha kuliko Nchi za Magharibi

#COVID19 Ugonjwa wa COVID-19 unaonekana nchi za Afrika kuwa wakutisha kuliko Nchi za Magharibi

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Wadau kama niwafatiliaji wa michuano ya mpira uefa euro 2020 inayoendelea utaona kwamba wenzetu janga hili haliwagusi watu wamejazana uwanjani na hawana barakoa kulikoni sisi huku Afrika.

Nini kinaendelea nyuma ya pazia kuhusiana na janga hili la corona?

Sisi kama watanzania hili swala inatakiwa tuliangalie swala hili kwa umakini katika kupambana nao kama kuna hujuma au propaganda za uongo kuhusiana na ugonjwa huu kutoka magharibi kuna kila sababu kuangalia maamuzi yoyote tunayoweza kufanya kama taifa.

Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan tunaomba uwe makini sana usije ukafunga mipaka na kufungia watu wakafa na njaaa huku kwa wenzetu wanakenua meno nakutuona wajinga kuwa na roho ya kijasiri kama ilivyokuwa 2020 wakati tunapambana na ugonjwa huo.
 
Wao wameshachanjwa vya kutosha na hata hao unaowaona uwanjani bila barakoa ni lazima wamechanjwa ndio maana wameanza kujiachia, corona ulaya imekuwa ni hatari zaidi ya Africa.

Sasa hivi Africa inaonekana kupitia magumu kwa sababu ni kama hakuna tofauti na kipindi corona imeingia, chanjo zenyewe zinazotolewa ni chache na hakuna uwezo wa kuchukua hatua madhubuti ili kupunguza maambukizi, kitakachotokea Africa ndio itabaki kuwa covid continent. Tutaishi nayo kwa muda mrefu tu, watakao kwenda wataenda watakaobaki wataendelea na maisha.
 
Unapokuwa unataja jina la mtu andika kwa herufi kubwa! Unataka wafe wangapi ndipo tuchukue tahadhari. Kwanza huwa unatumia condom? Au unasubiri uathirike kwanza ndio uanze kutumia? Next time kabla hujapandisha uzi fikiria kwanza
Unajuwa kutukana lakin watu kama nyie wenye mihemko hasa ya kisiasa ndio mnaharibu taifa kwa kutokuwa na maarifa! kabla hujatukana ungejiuliza tangu corona iwepo hapa tanzania kwanini mikusanyiko mingi iliendelea na kampeni zilifanyika na zikaisha na hakuna vifo vya kutisha vilitokea; kila jamii na jamaa wanaokuzunguka nani amefariki kwa corona na familia aliyoiacha je imepata maambukiz gani !

Kwa akili yako huwezi jiuliza maswali mengi kuhusiana na hilo watu wameenda makanisani sehemu nyingi za starehe tena na wewe ni mmoja wao ambaye umeenda kwenye starehe hata hizo barakoa ! Wewe unafikri kutukana ndio suluhisho la kujadiri na kutafakari kuhusu ugonjwa huu!siyo kila kitu unacholetewa ni salaama kwako fikri acha mihemko, hadi sasa hata mashariti yaliyowekwa na wizara ya afya yawezekana huyafuati lakini mtu akitoa ushauri unakuja na matusi kwenye media
 
Unapokuwa unataja jina la mtu andika kwa herufi kubwa! Unataka wafe wangapi ndipo tuchukue tahadhari. Kwanza huwa unatumia condom? Au unasubiri uathirike kwanza ndio uanze kutumia? Next time kabla hujapandisha uzi fikiria kwanza
Au umepata ajira mpya kwenye idara husika na COVID19?
Acha ujinga kutukana ovyo mitandoni.
 
Wao wameshachanjwa vya kutosha na hata hao unaowaona uwanjani bila barakoa ni lazima wamechanjwa ndio maana wameanza kujiachia, corona ulaya imekuwa ni hatari zaidi ya Africa.

Sasa hivi Africa inaonekana kupitia magumu kwa sababu ni kama hakuna tofauti na kipindi corona imeingia, chanjo zenyewe zinazotolewa ni chache na hakuna uwezo wa kuchukua hatua madhubuti ili kupunguza maambukizi, kitakachotokea Africa ndio itabaki kuwa covid continent. Tutaishi nayo kwa muda mrefu tu, watakao kwenda wataenda watakaobaki wataendelea na maisha.

Nakazia hapo kwenye watakao kwenda:

 
Wadau kama niwafatiliaji wa michuano ya mpira uefa euro 2020 inayoendelea utaona kwamba wenzetu janga hili haliwagusi watu wamejazana uwanjani na hawana barakoa kulikoni sisi huku afrika.

Nini kinaendelea nyuma ya pazia kuhusiana na janga hili la corona?

Sisi kama watanzania hili swala inatakiwa tuliangalie swala hili kwa umakini katika kupambana nao kama kuna hujuma au propaganda za uongo kuhusiana na ugonjwa huu kutoka magharibi kuna kila sababu kuangalia maamuzi yoyote tunayoweza kufanya kama taifa.

Rais wetu mama samia suluhu hassan tunaomba uwe makini sana usije ukafunga mipaka na kufungia watu wakafa na njaaa huku kwa wenzetu wanakenua meno nakutuona wajinga kuwa na roho ya kijasiri kama ilivyokuwa 2020 wakati tunapambana na ugonjwa huo.

Bara la Ulaya na Marekani ndiyo ambayo watu wao wengi zaidi wamekwisha kupokea chanjo:

IMG_20210623_211238_107.jpg


Hivi sasa kote duniani wagonjwa wa COVID 19 ni wale wasiochanjwa:


Kujilinganisha nao ni uzwazwa uliopitiliza!
 
Sasa unataka kujifananishaje na mataifa ambayo eameshapata chanjo? Amka usingizini mkuu. Propaganda zitatumaliza
 
Corona ipo na inakula vichwa ipendavyo. Kama tumepigwa mpaka ofisi kuu , ulitaka nini zaidi ?!
 
Wewe ni mbwa nini? Unapokuwa unataja jina la mtu andika kwa herufi kubwa! Unataka wafe wangapi ndipo tuchukue tahadhari. Kwanza huwa unatumia condom? Au unasubiri uathirike kwanza ndio uanze kutumia? Next time kabla hujapandisha uzi fikiria kwanza
Hao waganda/wakenya mbona huu ni mwaka sasa licha ya kuchukua tahadhari kubwa za kuwatesa wanyonge lakini hadi leo hali ni tete, kuliko sisi tunaoishi kama kuku wa kienyeji?!!
 
Jibu swali!

MME WAKO AMEKUFA KWA CORONA?
Aliyewajaza ujinga mwenyewe Corona imemchukuwa. Subiri ikupigie hodi nyumbani kwenu.

Na ujinga wenu bila kufuata miiko ya Corona Muhimbili, Bugando, Kcmc etc huingii. Sasa nani mjanja ?!. Ondoa ujinga ulikujaa kichwani
 
Nilichogundua hii Id ni mpya ila huyu Lorenzo ndio wale wale watukanaji wa kila siku ngoja niendelee kudadavua ntampata kuwa ni nani...MODS watu wanaanzisha uzi full matusi mpo tuu kimya harafu anakuja na Id nyingine maisha hayo hayo...
 
Back
Top Bottom