#COVID19 Ugonjwa wa COVID-19 unaonekana nchi za Afrika kuwa wakutisha kuliko Nchi za Magharibi

Kule ulaya wazee wote walishamalizika ugonjwa hautaki wazee
Mjomba COVID-19 variant ya India maarufu kwa jina la Delta inakula vijana kwa kasi kubwa.

Ulaya wapo huru vile kwa msaada wa chanjo(vaccine).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…