Walikuwa ni wanasiasa tu wale walioleta habari za ugonjwa wa dengu, sahizi wameleta mwingine unaitwa ugonjwa wa 'KUTUPA MIMBA' na unatokana na kula nyama nyama na dalili zake nyingi wanasema ni kama zile za malaria, nadhani watakuwa wana-agenda ya kupunguza bei ya nyama.