mfumuko wa bei unatuua
malaria ndo usiseme
sasa ebola imevuka ziwa inakuja huku bara
malawi vita in waiting.
Twafaaaaaaaaaaaaaa na raisi katoka Uganda, kaunganisha ghana. Akirudi sijui Msata?
Acha kutafuna bangi mbichi wewe.Du chadema ni hatari sana kimehamia kwenye maradhi baada ya migomo kugonga ukuta!!!!!
title inaonyesha kuwa tayari ebola ipo mwanza wakati doctor kasema mgonjwa ana dalili za ebola na vipimo vimepelekwa nje ya nchi kwa uthibitisho zaidi hebu itendee haki habari hii mkuu wote tumeiona
Niite Babu, sio Kijana. Hata hivyo nakushukuru mjukuu wangu.sadakta kijana