Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya

Tupatie tiba yake hayo maradhi ya Kiharusi Mkuu?
 
DAWA YA STROKE AU KIHARUSI
By Salim Mikdad

KIHARUSI (STROKE DISEASE)

Maradhi ya KIHARUSI(stroke disease) ni miongoni mwa maradhi ambayo yanasababisha watu wengi kupatwa ulemavu na kuharibikiwa na mambo mengi katika maisha.



kuna KIHARUSI ambayo husababishwa na majini aina ya UMMU SUBIANI,

Ambayo hii hutoka na mtu KUANGUKA CHOONI.

Kisha kuna kiharusi inayo sababishwa na DAMU kutokufika kwenye UBONGO ipasavyo ambapo hali huii hupelekea UBONGO kutokupata OXYGEN ipasavyo au nutrients ambazo zikikosekana husababisha seli za UBONGO kufa .

Ama kuhusu Tiba ya ANAE ANGUKA CHOONI huitajika KISOMO na MADAWA ya kula pamoja naya kufusha

TIBA YA UGONJWA WA KIHARUSI



1)SIKI YA MNAZI

2) DAMU YA NJIWA

3) MAZIWA YA MBUZI

Kisha CHANGANYA pamoja, na baada ya kuchanganya uwe unampaka mgonjwa mwili wote kwa SIKU 19 mpaka SIKU 27 ambapo ni ASUBUHI NA USIKU.

kisha dawa ya kunywa ni

KAMUN AS WAD

HABAT SAUDA za UNGA,

unachanganya kisha unachemsha KIJIKO KIKUBWA halafu unaweka maji Vikombe vikubwa VITATU yachemke mpaka yabaki vikombe 2 kisha unakunywa asubuhi na usiku siku hizo hizo.
 
Hata kama tunaendelea kupuuzia tiba hiz asilia tukumbuke kama ndoo mpango mzima ,,, mm ckujui ww ndoo wajitambua lkn tiba hii ni zaid ya tiba karibu tuungane pamoja asanten na majukum mema ya kaz zenu
 
Umefahamisha vzr sana
 
Asante kwa dawa
 
kiharusi???to The best of my KNOWLADGE harusi hushangiliwa kwa kupungiwa mikono,.na wengine hunyanyua miguu...wagonjwa ni wengi,.....
Siji kusahau siku niliyochapia kama hivi mbele ya watu hakika ilikuwa ni dhahama..
 
Asante kwa kutujulisha dawa
 
Anza na hospitali ila na dawa za miti shamba usiache kutumia inshaallah utapona
 
Habari wana JF.

Mdogo wangu mwenye umri wa miaka 24 anashida, ni mwezi wa pili sasa kigacha cha mkono wa kulia hakifanyi kazi, kimepooza. Kwa sasa imepelekea kushindwa kushika kalamu wala kitu chochote.

Naomba msaada wa kimawazo, sijui anaumwa nini, tumeenda hospital kadhaa wanampiga x-ray wanasema hakuna shida. Sasa labla sijui ni daktari gani mtaalamu wa magonjwa ya aina hiyo.

Naomba msaada wa mawazo hata kwa anaejua tiba za asili. Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu hii ponda mizizi au magome ya mlonge mfunge kwa bandeji usikaze kwa dk 10-15 akihisi joto/Moto mfungue ondoa hiyo dawa asubiri kwa siku 3 uone maendeleo yake Kisha Leta mrejesho hapa jf
 
Habar wana jf naomba kuulza ugonjwa was kupooza ni nn na ubasababishwa na non,dalil zake n zp, unpimwaje,tiba take na jinsi ya kujizuia
 
Mara nyingi hutokea baada ya kiharusi (stroke). Tiba pamoja na dawa mama cheza (physiotherapist) wana mchango mkubwa sana.
Kuna aina mbili za stroke lakini zote husababisha ukisefu wa oxygen kwenye ubongo.

1. Damu kuganda kwenye mishipa ya damu hivyo kisababisha damu yenye oxygen kutofikia ubongo. Hii mara nyingi hutokea mwili ukiwa na mafuta mengi.

2. Mishipa ya damu kupasuka kutokana na pressure ya damu kuwa juu. Mara nyingi hii husababishwa na shock or enxiety.

Uchunguzi ni kupitia CT scan
 
...mzee mshtuko mkubwa wa ghafla ndo chanzo cha kuupoza. Kuna boss mmoja wa ardhi alikuwa anaishi na binti mdogo sana. Na hakuzaa naye mwisho wa siku yule binti kashika mimba kwingine na na kamtema mzee , mzee kurudi kwa bimkubwa soo kaanza kuumwa mwisho kapooza
 
Hata ushirikina ukitupiwa jini utakauka upande mmoja hasa kushoto!
 
Habar wana jf naomba kuulza ugonjwa was kupooza ni nn na ubasababishwa na non,dalil zake n zp, unpimwaje,tiba take na jinsi ya kujizuia
Mgonjwa kapooza nini na nini au sehemu gani ya mwili? Maana wadau wanakujibu kuhusu stroke ambayo mara nyingi mtu hupoonza sana upande mmoja wa mwili, lakini pia kuna kupooza miguu peke yake, kupooza mwili wote kasoro kichwa na shingo, kupoona mgoo au mkono mmoja, Nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…