Ugonjwa wa Kisonono (Gonorhea): Dalili, kinga na tiba yake

Kwani source ya huu ugonjwa n nn Yan unaanzaje najua unaapatiksna kwenye sehemu za Siri lakini chanzo chake Ni Nini wataalamu nawaombeni mje hapa
 
Mpenzi wangu alikua anaumwa gono katibiwa bila kuniambia mimi sijui hili wala lile nikasex nae...
inj ceftriaxone 1g on five days
doxy 100mg for five days
then ulete ushuhuda hapa

hawa wengine wafanya biashara achana nao
 
Wadau mimi niliwahi kuukwaa huu ugonjwa mwaka juzi nikaenda hospitali nikatibiwa nikapona

Kuanzia hapo nikikutana tu na demu bila mpira lazma naupata tena, natumia dawa napona...
inj ceftriaxone 1g on five days
doxy 100mg for five days
then ulete ushuhuda hapa

hawa wengine wafanya biashara achana nao
 
Duuh Pole yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…