Mkuu hizo dawa zote nilishazimaliza ,,,,
Kwsbb nakumbuka huu ugonjwa kwangu ilifkia hatua nikawa nauona kama
Mafua vile...haipiti miezi mi4 au mi5 kitu na box
Natibu napona nakua fiti kabxaa..
Nikianza tu kushindua kitu na box,,,
Nakumbuka siku doctr ananambia sasa ww hii ni ishakua Cronic Gono
Nilidungwa sindano ***** wanazopigwa Ng'ombe
Kwanza ukiiona hio sindano ukubwa wake ka unaroho ndogo lazma utaingia mitini
Ni kubwa hasa ndani dawa iliomo inafanana na maziwa
ALINIDUNGA KARIBU DK7 hivi huku akinisisitiza kua mvumilivu
Maumivu yake utatamani uzaliwe upya,, baada ya hapo nikamuliza doctor hii ni doz gani akanambia pen-du sijui jinsi inavoandikwa lkn jina nalokumbuka pen-du
Akasema hii hua wanapigwa nazo ng'ombe..nilivoskia ivo [emoji15]tangia siku hio niliacha kutembelea Rim nikipata tu dem navaa tairi
Hadi leo nipo bombaaa namshkuru mungu