Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mkuu hata kubonyeza neno (Like) unashindwa?Mkuu King'asti acha uchoyo wako huo lol
sijaelewa nikwamba. dawa ni hakunaga?
wakubwa habari za kazi natumai mu wazima.naombe msaada wenu kwa wanaoijua dawa ya kutibu ugonjwa huu.
hakuna dawa, mkiambiwa tumien kondom hamsikii,
big up kamanda usiogope utapona mwanaume jasiri bila kisonono ujaitwa mwanaume
Huu ugonjwa ni hatari sana,kwa sababu husambaa kwa njia ya macho, na mgonjwa hukaa masaa 6, asipotibiwa anafariki.
nisaidieni jamani ugonjwa wa gonorohea na madhara yake ppamoja na maambukizi yake yanatoka kwa nani na kwenda kwa nani?