Mnahangaika.kula bangi tu ugonjwa ugonjwa TWA hovyo kamwe hatukosogelei.huo ugonjwa wa upele toka Niko mdogo mpaka nimekua MTU mzima ulikua unanipata sana.viupele vidogo vinawashaaa afu vinatoa maji.vilikua vinanisumbua mikononi,shingoni,mapajani adi mapajani huku karibu na dushelele.inje ya mada kidogo(hata mafua nilikua nayo sugu..nilikua naugua mafua Mara Kwa Mara na yalikua yanakaa wiki mbili mpaka tatu.nkaenda chuo nkarudi nikapata kazi eeh baada ya mwaka nikawekwa kando maisha yakanichapa kama mwaka hivi,sa kwenye kuchapwa na maisha sinikajifundisha kuvuta hako ka mea Mwenyewe..nilikua navuta tu ili nipate usingizi.ila nakwambia huu mwaka wa sita sijawahi umwa huo epele,mafua yanakuja leo kesho yameishaaaa.nilikua nachomekea tu wakuu ila bangi inatibu magonjwa ya mzio na viugonjwa ugonjwa vingine.kwakusema hayo sichangwiiii ngo'.,[emoji53]