Ugonjwa wa kujikuna wa hivi karibuni usio wa kawaida je umekupata?

Ugonjwa wa kujikuna wa hivi karibuni usio wa kawaida je umekupata?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kumezuka ugonjwa mpya wa kujikuna ambao mtu anawashwa Sana na anatoa vipele vidogovidogo. Sijui ni wangapi mmeshausikia au kuupata. Mimi na familia yangu wote tunawashwa na huko Moshi pia Kuna jamaa zangu wawili na familia zao nao wameniambia Wana washwa na kujikuna sana. Plz Kama umepata Hilo tatizo please share nasisi hapa.
 
Kuna mtu huku songea kapata hyo shida katumia dawa za alergy lakin bado vipele vidogo vidogo sana vimemtoka uson
 
Mimi watoto wamepata na mashaka sana ingawa wanatumia dawa ila nahisi wamepatia shuleni.
 
Hili tatizo limenipata ni mwezi na kitu sasa
Mwanzon nilidhani na hali ya hewa... Najikuna na vipele vingi inaota mgongon na usoni.
 
Mnahangaika.kula bangi tu ugonjwa ugonjwa TWA hovyo kamwe hatukosogelei.huo ugonjwa wa upele toka Niko mdogo mpaka nimekua MTU mzima ulikua unanipata sana.viupele vidogo vinawashaaa afu vinatoa maji.vilikua vinanisumbua mikononi,shingoni,mapajani adi mapajani huku karibu na dushelele.inje ya mada kidogo(hata mafua nilikua nayo sugu..nilikua naugua mafua Mara Kwa Mara na yalikua yanakaa wiki mbili mpaka tatu.nkaenda chuo nkarudi nikapata kazi eeh baada ya mwaka nikawekwa kando maisha yakanichapa kama mwaka hivi,sa kwenye kuchapwa na maisha sinikajifundisha kuvuta hako ka mea Mwenyewe..nilikua navuta tu ili nipate usingizi.ila nakwambia huu mwaka wa sita sijawahi umwa huo epele,mafua yanakuja leo kesho yameishaaaa.nilikua nachomekea tu wakuu ila bangi inatibu magonjwa ya mzio na viugonjwa ugonjwa vingine.kwakusema hayo sichangwiiii ngo'.,[emoji53]
 
Mnahangaika.kula bangi tu ugonjwa ugonjwa TWA hovyo kamwe hatukosogelei.huo ugonjwa wa upele toka Niko mdogo mpaka nimekua MTU mzima ulikua unanipata sana.viupele vidogo vinawashaaa afu vinatoa maji.vilikua vinanisumbua mikononi,shingoni,mapajani adi mapajani huku karibu na dushelele.inje ya mada kidogo(hata mafua nilikua nayo sugu..nilikua naugua mafua Mara Kwa Mara na yalikua yanakaa wiki mbili mpaka tatu.nkaenda chuo nkarudi nikapata kazi eeh baada ya mwaka nikawekwa kando maisha yakanichapa kama mwaka hivi,sa kwenye kuchapwa na maisha sinikajifundisha kuvuta hako ka mea Mwenyewe..nilikua navuta tu ili nipate usingizi.ila nakwambia huu mwaka wa sita sijawahi umwa huo epele,mafua yanakuja leo kesho yameishaaaa.nilikua nachomekea tu wakuu ila bangi inatibu magonjwa ya mzio na viugonjwa ugonjwa vingine.kwakusema hayo sichangwiiii ngo'.,[emoji53]
Wengi watakupinga lkn ndio ukweli wenyewe
 
Kumezuka ugonjwa mpya wa kujikuna ambao mtu anawashwa Sana na anatoa vipele vidogovidogo. Sijui ni wangapi mmeshausikia au kuupata. Mimi na familia yangu wote tunawashwa na huko Moshi pia Kuna jamaa zangu wawili na familia zao nao wameniambia Wana washwa na kujikuna sana. Plz Kama umepata Hilo tatizo please share nasisi hapa.

Aisee mimi ni wiki ya tatu sasa [emoji23][emoji23] nilijua niko mwenyewe
 
Unawashwa sehemu gani! Maana isijefika sehem za siri t
 
Kuna mtu huku songea kapata hyo shida katumia dawa za alergy lakin bado vipele vidogo vidogo sana vimemtoka uson
Yani hili linaanza kuwa tatizo maana kesi zipo nyingi.
 
Ni moja ya dalili za covid19 wakati ikiwa inaelekea ukingoni baada ya kupigwa na kingamwili
 
Back
Top Bottom