Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Ni kweli. Upele na kujikuna ni tatizo linawakumba wengi kipindi hiki cha covidBe serious mkuu ni kweli? Au unatania?
Kwa uzoefu wangu upele huja wakati homa ya covid ikiwa inaishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli. Upele na kujikuna ni tatizo linawakumba wengi kipindi hiki cha covidBe serious mkuu ni kweli? Au unatania?
Hii shida kweli ilinipata sio siri..Ni kweli. Upele na kujikuna ni tatizo linawakumba wengi kipindi hiki cha covid
Kwa uzoefu wangu upele huja wakati homa ya covid ikiwa inaishia
View attachment 1873313
Kuna mama hapa mtaani alijikuta hadi akawa mwekunduHii shida kweli ilinipata sio siri..
Mimi niko arusha nikajua mafuta niliyonunua lbd yameexpr.nikanunua mengine wapi kuwashwa iko palepale ila sipati vipele.
Nikaona hapana nikaanza kukagua kitandani kwenye magodoro labda kunguni maana nilisafiri sehemu maporini huko labda nimewapata.holaaaa hakuna kitu!!
Ila siwashwi tena kwa sasahivi
Hii ya kuwashwa na kutotoka vipele hata mimi ilinikutaHii shida kweli ilinipata sio siri..
Mimi niko arusha nikajua mafuta niliyonunua lbd yameexpr.nikanunua mengine wapi kuwashwa iko palepale ila sipati vipele.
Nikaona hapana nikaanza kukagua kitandani kwenye magodoro labda kunguni maana nilisafiri sehemu maporini huko labda nimewapata.holaaaa hakuna kitu!!
Ila siwashwi tena kwa sasahivi
Mkuu bora useme wewe mimi jina langu linaniponza, Mmea unaondoa matatizo mengi mwilini👍Mnahangaika.kula bangi tu ugonjwa ugonjwa TWA hovyo kamwe hatukosogelei.huo ugonjwa wa upele toka Niko mdogo mpaka nimekua MTU mzima ulikua unanipata sana.viupele vidogo vinawashaaa afu vinatoa maji.vilikua vinanisumbua mikononi,shingoni,mapajani adi mapajani huku karibu na dushelele.inje ya mada kidogo(hata mafua nilikua nayo sugu..nilikua naugua mafua Mara Kwa Mara na yalikua yanakaa wiki mbili mpaka tatu.nkaenda chuo nkarudi nikapata kazi eeh baada ya mwaka nikawekwa kando maisha yakanichapa kama mwaka hivi,sa kwenye kuchapwa na maisha sinikajifundisha kuvuta hako ka mea Mwenyewe..nilikua navuta tu ili nipate usingizi.ila nakwambia huu mwaka wa sita sijawahi umwa huo epele,mafua yanakuja leo kesho yameishaaaa.nilikua nachomekea tu wakuu ila bangi inatibu magonjwa ya mzio na viugonjwa ugonjwa vingine.kwakusema hayo sichangwiiii ngo'.,[emoji53]
Arusha panawasha baada ya baridi likipiga jua,niliteseka sana.Hii shida kweli ilinipata sio siri..
Mimi niko arusha nikajua mafuta niliyonunua lbd yameexpr.nikanunua mengine wapi kuwashwa iko palepale ila sipati vipele.
Nikaona hapana nikaanza kukagua kitandani kwenye magodoro labda kunguni maana nilisafiri sehemu maporini huko labda nimewapata.holaaaa hakuna kitu!!
Ila siwashwi tena kwa sasahivi
Ni kweli. Upele na kujikuna ni tatizo linawakumba wengi kipindi hiki cha covid
Kwa uzoefu wangu upele huja wakati homa ya covid ikiwa inaishia
View attachment 1873313
Kama wewe sio mzee sana na hauna matatizo makubwa ya kiafya huwezi kufa.Hiyo hali ya kupoteza hali ya kunusa ilinipata na ilinichukua takribani wiki mbili kukaa sawa...
Kumbe nilikuwa naenda kufa najiona...
Tumia Cetrizine ilinisaidiamimi umenipata sasa ni mwezi wa sita sasa, hakuna dawa
Nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa Azuma ile yenye mg 500 pata dozi, tatizo litaisha, mimi mwenyewe nimehangaika sana lakini baada ya kutumia hiyo dawa nimepona kabisaKumezuka ugonjwa mpya wa kujikuna ambao mtu anawashwa Sana na anatoa vipele vidogovidogo. Sijui ni wangapi mmeshausikia au kuupata. Mimi na familia yangu wote tunawashwa na huko Moshi pia Kuna jamaa zangu wawili na familia zao nao wameniambia Wana washwa na kujikuna sana. Plz Kama umepata Hilo tatizo please share nasisi hapa.
Duh..Ni moja ya dalili za covid19 wakati ikiwa inaelekea ukingoni baada ya kupigwa na kingamwili
CHUMA majani ya MUAROBAINI twanga yatie maji kakoge ikiwa bado pakaa Alovera.UNAPO KOSHA AU KUKOGA USIVITUMBUE AU KUVISUGUA VIPELE HIVYOmimi umenipata sasa ni mwezi wa sita sasa, hakuna dawa
Hiyo ni ScabiesKumezuka ugonjwa mpya wa kujikuna ambao mtu anawashwa Sana na anatoa vipele vidogovidogo. Sijui ni wangapi mmeshausikia au kuupata. Mimi na familia yangu wote tunawashwa na huko Moshi pia Kuna jamaa zangu wawili na familia zao nao wameniambia Wana washwa na kujikuna sana. Plz Kama umepata Hilo tatizo please share nasisi hapa.