HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 713
Habari ndugu,
Wife wangu anatatizo la kupenda kulala lala anadai anachokachoka. anaweza lala saa 2 usiku na akaamka saa 1 then saa 4 mpaka saa 6 mchana. akila lunch tena analala hata 30minutes. yaani ni mchovu chovu tu why?
Najiuliza, Je ni aina ya vyakula? au ni kawaida/kipindi tu? But si mimba maana anaenda circle kama kawaida, madaktari leteni ufumbuzi maana nataka nimpeleke achekiwe afya huyu ubavu wangu.
Ahsanteni.
Wife wangu anatatizo la kupenda kulala lala anadai anachokachoka. anaweza lala saa 2 usiku na akaamka saa 1 then saa 4 mpaka saa 6 mchana. akila lunch tena analala hata 30minutes. yaani ni mchovu chovu tu why?
Najiuliza, Je ni aina ya vyakula? au ni kawaida/kipindi tu? But si mimba maana anaenda circle kama kawaida, madaktari leteni ufumbuzi maana nataka nimpeleke achekiwe afya huyu ubavu wangu.
Ahsanteni.