The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Hiki kiti kinaniudhi na bahati mbaya zaidi naamini kila mwanamke anacho.....
ni huu ugonjwa wa kununa na kususa kwa jambo doogo.....
mtu unaweza kununiwa hata mwezi mzima,mpaka ukahisi
labda love ishakufa na sasa ufanye 'maamuzi' mengine.....kumbe makusudi tu
unakuja kumuuliza utasikia 'ahhh unajua siku ile iuliniita mjinga uliniuudhi sana'...
na hapo anaezungumza hivyo sio mtoto mdogo ni mama wa watoto na wajukuu...
swali ninaouliza hapa hivi kuna wanawake ambao hawanuni wala kususa?
na why mwanamke hata awe above 50 na wajukuu na phd juu
bado still huu ugonjwa wa kununa nuna na kususa hawaauachi????
tena mara nyingi mwanaume unakuwa hujui haswaa umenuniwa kwa sababu gani...
si ajabu ukiuuliza unaambiwa 'aah hamna kitu',while mtu hayuko sawa...
kwa nini wanawake wako hivi????
ni huu ugonjwa wa kununa na kususa kwa jambo doogo.....
mtu unaweza kununiwa hata mwezi mzima,mpaka ukahisi
labda love ishakufa na sasa ufanye 'maamuzi' mengine.....kumbe makusudi tu
unakuja kumuuliza utasikia 'ahhh unajua siku ile iuliniita mjinga uliniuudhi sana'...
na hapo anaezungumza hivyo sio mtoto mdogo ni mama wa watoto na wajukuu...
swali ninaouliza hapa hivi kuna wanawake ambao hawanuni wala kususa?
na why mwanamke hata awe above 50 na wajukuu na phd juu
bado still huu ugonjwa wa kununa nuna na kususa hawaauachi????
tena mara nyingi mwanaume unakuwa hujui haswaa umenuniwa kwa sababu gani...
si ajabu ukiuuliza unaambiwa 'aah hamna kitu',while mtu hayuko sawa...
kwa nini wanawake wako hivi????